AMARIDONG
JF-Expert Member
- Jun 24, 2010
- 2,502
- 180
Kwa taarifa nilizopata ni kuwa raisi jakaya kikwete na waziri mkuu pinda watahudhuria mazishi ya kesho kwenye viwanja vya nmc arusha.na hii imetokana na msukumo wa kimataifa kwani taarifa zinasema kuwa
bbc
dw
aljaazira
cnn
sbc
sky news
na magazeti kibao ya magharibi tayari wako hapa arusha kuonyesha tukio hili katika coverage kubwa kuliko inavyotegemewa
naomba sana wananchi wanademokrasia na mashujaa walioko kokote tanzania wafike kesho na wakazi wa arusha tunawaomba mjitokeze kwa wingi kabisa
bbc
dw
aljaazira
cnn
sbc
sky news
na magazeti kibao ya magharibi tayari wako hapa arusha kuonyesha tukio hili katika coverage kubwa kuliko inavyotegemewa
naomba sana wananchi wanademokrasia na mashujaa walioko kokote tanzania wafike kesho na wakazi wa arusha tunawaomba mjitokeze kwa wingi kabisa