Tupunguze Siri Wakuu

Tupunguze Siri Wakuu

fact only

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2024
Posts
975
Reaction score
1,356
Habari wana JF.
Tuache Siri kwenye vitu muhimu wakuu hasa kwenye family issues. Kuna partner wangu mmoja hapa kariakoo wiki mbili zilizo pita tulikuwa tunazungumzia kuhusu usiri wa pesa tunazo weka Bank . Jamaa akanambia kahifadhi milioni 28 bank na mke wake hajamwambia hivyo katika familia yake hakuna mwenye taarifa hizo zaidi yake. Tugapipiga story pale na kushauriana mambo mengi ikiwa pia inatakiwa kuweka wazi baadhi ya mambo muhimu Kwa familia. Sasa juzi suddenly mshikaji kapata ajari na tumesha mpoteza(kafariki). Niliwaza vitu vingi Sana hivyo nimeleta hii thread hapa ili tujifunze kitu bank wananufaika na pesa na sio mke au watoto.

So the moral of this story is Let's not keep important family matters a secret. Imagine umejenga hakuna uliye mshirikisha, una pesa bank hakuna uliyemshirikisha, una MTOTO njee hakuna uliyemshirikisha, unabiashara hakuna uliyemshirikisha ukipotea suddenly it's worthless. TUPUNGUZE AU KUACHA KABISA SIRI kwenye mambo ya FAMILIA.
 
Habari wana JF.
Tuache Siri kwenye vitu muhimu wakuu hasa kwenye family issues. Kuna partner wangu mmoja hapa kariakoo wiki mbili zilizo pita tulikuwa tunazungumzia kuhusu usiri wa pesa tunazo weka Bank . Jamaa akanambia kahifadhi milioni 28 bank na mke wake hajamwambia hivyo katika familia yake hakuna mwenye taarifa hizo zaidi yake. Tugapipiga story pale na kushauriana mambo mengi ikiwa pia inatakiwa kuweka wazi baadhi ya mambo muhimu Kwa familia. Sasa juzi suddenly mshikaji kapata ajari na tumesha mpoteza(kafariki). Niliwaza vitu vingi Sana hivyo nimeleta hii thread hapa ili tujifunze kitu bank wananufaika na pesa na sio mke au watoto.

So the moral of this story is Let's not keep important family matters a secret. Imagine umejenga hakuna uliye mshirikisha, una pesa bank hakuna uliyemshirikisha, una MTOTO njee hakuna uliyemshirikisha, unabiashara hakuna uliyemshirikisha ukipotea suddenly it's worthless. TUPUNGUZE AU KUACHA KABISA SIRI kwenye mambo ya FAMILIA.
Fanya mpango familia yake ipate hizo m28 mkuu
 
Ukiona hivyo ni heri.

Mkuu haya maisha ya mafumbo mengi sana.

Pesa,bora afe zibaki huko au ukiona kabisa mambo huelewi kuna taratibu za kufuata ili uache mpunga kwa Watoto wasiteseke na mjane mwenye akili.

Narudia siku hizi watu hawataki NDOA ,wanataka sherehe za MC Dr.Cheni na n.k
Wanataka kupostiana kaolewa kutoka kundi lile walilomaliza Degree,Biashara ,kazini na mtaani.

Nina ushahidi wanaume wengi husukumwa kwenye Sherehe hizi wanawake baadhi wakiamini ni NDOA lakini sio.

Mambo ya kukaa pamoja yakianza unaona kabisa wewe hukuwa Mke au Mume wa aliyekuoa,picha la wazi kabisa.

Ndiko usiri na kuficha vitu huja kwa mwanaume.

Kuna namna Mungu ameumba Mwanaume, japo kwa sasa Dunia inatetea mtoto wa Kike ni sawa ila Mwanaume kuna namna huwa na asili yake daima hata awe bwege kiasi gani.

Siri kwa wanafamilia zetu pia wivu wa maendeleo ni ndugu wachache sana wenye upendo kwenye familia zetu sio wote.

Kuna wengine tuliachwa yatima ila kuna ndugu walisimama nasi kwenye mali zilibakishwa hata kidogo.Wakatunyanyua na kufikia malengo yetu kiasi chake.

NDOA batili ndio chanzo cha siri nyingi kwa wake kwa waume.
 
Habari wana JF.
Tuache Siri kwenye vitu muhimu wakuu hasa kwenye family issues. Kuna partner wangu mmoja hapa kariakoo wiki mbili zilizo pita tulikuwa tunazungumzia kuhusu usiri wa pesa tunazo weka Bank . Jamaa akanambia kahifadhi milioni 28 bank na mke wake hajamwambia hivyo katika familia yake hakuna mwenye taarifa hizo zaidi yake. Tugapipiga story pale na kushauriana mambo mengi ikiwa pia inatakiwa kuweka wazi baadhi ya mambo muhimu Kwa familia. Sasa juzi suddenly mshikaji kapata ajari na tumesha mpoteza(kafariki). Niliwaza vitu vingi Sana hivyo nimeleta hii thread hapa ili tujifunze kitu bank wananufaika na pesa na sio mke au watoto.

So the moral of this story is Let's not keep important family matters a secret. Imagine umejenga hakuna uliye mshirikisha, una pesa bank hakuna uliyemshirikisha, una MTOTO njee hakuna uliyemshirikisha, unabiashara hakuna uliyemshirikisha ukipotea suddenly it's worthless. TUPUNGUZE AU KUACHA KABISA SIRI kwenye mambo ya FAMILIA.
Umenena vyema vyema,Siri hiyo mpe nduguye,watskushukuru sana,nawe Mungu atakutendea vyema sana!
 
Habari wana JF.
Tuache Siri kwenye vitu muhimu wakuu hasa kwenye family issues. Kuna partner wangu mmoja hapa kariakoo wiki mbili zilizo pita tulikuwa tunazungumzia kuhusu usiri wa pesa tunazo weka Bank . Jamaa akanambia kahifadhi milioni 28 bank na mke wake hajamwambia hivyo katika familia yake hakuna mwenye taarifa hizo zaidi yake. Tugapipiga story pale na kushauriana mambo mengi ikiwa pia inatakiwa kuweka wazi baadhi ya mambo muhimu Kwa familia. Sasa juzi suddenly mshikaji kapata ajari na tumesha mpoteza(kafariki). Niliwaza vitu vingi Sana hivyo nimeleta hii thread hapa ili tujifunze kitu bank wananufaika na pesa na sio mke au watoto.

So the moral of this story is Let's not keep important family matters a secret. Imagine umejenga hakuna uliye mshirikisha, una pesa bank hakuna uliyemshirikisha, una MTOTO njee hakuna uliyemshirikisha, unabiashara hakuna uliyemshirikisha ukipotea suddenly it's worthless. TUPUNGUZE AU KUACHA KABISA SIRI kwenye mambo ya FAMILIA.
Wazo wazuri, unatakiwa uwe na msiri wako hata mmoja kama si mke wako, atakayejua hizo taarifa.

Lazima kuwepo na Mipaka:-
1. Yapo mambo ambayo ni lazima yanapaswa yawe Siri, na yaendelee kubaki kuwa Siri daima au yanapaswa yawe Siri kwa muda fulani fulani tu.
2. Pia, yapo Mambo ambayo hayapaswi kuwa Siri, yanapaswa kuwekwa wazi.
3. Jambo au factors za Msingi za kuzingatiwa kukuongoza katika kuamua Jambo fulani aidha liwe Siri au liwe wazi, ni kutokana na unyeti wa jambo lenyewe, faida na hasara za kuwa Siri au wazi, Usalama wako binafsi pamoja na Usalama wa Watu wengine wote watakaoguswa na Jambo hilo, n.k.

TANBIHI:- USIRI ndiyo silaha nzito zaidi kuliko zote kabisa hapa duniani. Wewe binafsi ndio muamuzi wa mwisho ni kwa namna gani hasa unaweza kuitumia vizuri silaha hii.
 
Habari wana JF.
Tuache Siri kwenye vitu muhimu wakuu hasa kwenye family issues. Kuna partner wangu mmoja hapa kariakoo wiki mbili zilizo pita tulikuwa tunazungumzia kuhusu usiri wa pesa tunazo weka Bank . Jamaa akanambia kahifadhi milioni 28 bank na mke wake hajamwambia hivyo katika familia yake hakuna mwenye taarifa hizo zaidi yake. Tugapipiga story pale na kushauriana mambo mengi ikiwa pia inatakiwa kuweka wazi baadhi ya mambo muhimu Kwa familia. Sasa juzi suddenly mshikaji kapata ajari na tumesha mpoteza(kafariki). Niliwaza vitu vingi Sana hivyo nimeleta hii thread hapa ili tujifunze kitu bank wananufaika na pesa na sio mke au watoto.

So the moral of this story is Let's not keep important family matters a secret. Imagine umejenga hakuna uliye mshirikisha, una pesa bank hakuna uliyemshirikisha, una MTOTO njee hakuna uliyemshirikisha, unabiashara hakuna uliyemshirikisha ukipotea suddenly it's worthless. TUPUNGUZE AU KUACHA KABISA SIRI kwenye mambo ya FAMILIA.
Wengine Wana negative energy ukimwambia kila kitu kinaishia haoo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom