Tupo Huru Uraiani: Mapambano Yanaendelea Rombo

Tupo Huru Uraiani: Mapambano Yanaendelea Rombo

Inatakiwa hivi kwa viwanja vya michezo vya serikali vilivyotaifishwa pamoja na shule za wazazi.
BRAVO CHADEMA - show the way.
 
Tuko pamoja Mwenyekiti. Mimi ni wa huko Rombo, na pamoja na kwamba niko mbali, ni muhimu niandike ili mjue tunawaunga mkono.

Baadhi ya mapolisi ni wa kusikitikia sana. Wanafanya wasiyopenda kwa kushinikizwa na wezi na wanyanganyi wanaotutawala.
Tupo pamoja kamanda
 
Chadema ni janga zaidi ya ufikiriavyo. Hapo ni kijiji tu, je wakupewa nchi itakuwaje?

sio kwamba ccm ndio Jana zaidi,hapo ni kijiji tu wanagoma kuachia ofisi,je ikulu watakubali kweli kuachia kweli wakishindwa!!!??
 
Chadema habari zao ni kuhusu wachagga tu, sijawahi kusikia wazaramo wakitajwa
 
Hata pale keni palikuwa na huo mgogoro sijui uliishia wapi! Lakini polisi wanafaham vizuri kabisa wanarombo jinsi wasivyo na mchezo kwenye mali zao. Wanakumbuka ile ishu ya jamaa wa shimbi aliyemteka mtoto wa kike wa keni.
 
pamoja sana makamanda wa rombo. kazeni buti mpaka ukombozi upatikane. ccm ni janga la kitaifa.
 
aiseee baba yangu mngetualika na sisi wanachama 2 cdf hapa mengwe
 
Chadema ni janga zaidi ya ufikiriavyo. Hapo ni kijiji tu, je wakipewa nchi itakuwaje?

wapuuzi wote kama nyie mtatandikwa na wananchi kweli kweli, pigwa mabanzi ya usoni mpaka muipate fresh.
 
Kwani CCM ni nani na wananchi ni kina nani!
Unaweza kusema kuwa wananchi ndio watanzania na watanzania ndio hao hao wanachi.

Ni sawa kabisa ukisema ccm ni watanzania lakini HAIWEZEKANI KABISA KUSEMA WATANZANIA NI WANA CCM
conclusion: Ni sawa wananchi wachukue vilivyo vyao, Rombo hongereni.
 
Kwani CCM ni nani na wananchi ni kina nani!
Unaweza kusema kuwa wananchi ndio watanzania na watanzania ndio hao hao wanachi.

Ni sawa kabisa ukisema ccm ni watanzania lakini HAIWEZEKANI KABISA KUSEMA WATANZANIA NI WANA CCM
conclusion: Ni sawa wananchi wachukue vilivyo vyao, Rombo hongereni.
Hata Mungu amekubali chadema tuongoze nchi
 
Chadema ni janga zaidi ya ufikiriavyo. Hapo ni kijiji tu, je wakupewa nchi itakuwaje?

Lazima tuhakikishe majengo yete mliokalia mkijifanya mali yenu tunayarudisha mikonon mwa wananchi. Nenda kata ya old moshi magharibi kijiji cha mande na tella walishawanyanyang'anya hao majizi ccm ofice siku nyingi.
 
Back
Top Bottom