Tupike wali samaki

Tupike wali samaki

Lee huu unga utatoboa kwenye lockdown?
IMG_2953.jpeg
 
Hi guys,.hope mko poa

Tunavyoendelea kumwomba Mungu kuelekea kesho D9 basi tusisahau kula..... Haya tuanze

Ukishaweka mchele wako kwenye rice cooker au vyovyote vile utakavyoupika,. Pembeni tutaanza kupika samaki,. Kwenye sufuria yako utaanza kuweka mafuta kidogo,. vitunguu hoho na carrot kama nlivyofanya Mimi hapo

View attachment 3512757

Ukishavikaanga vikiiva vizuri utaweka nyanya na chumvi kiasi then utaendelea kukaangaView attachment 3513023
Nyanya zikishaiva utaweka tomato paste kiasi utaendelea kupika dakika chache then utamweka samaki wako ambae ulishamtengeneza vizuri View attachment 3513024
Taratibu utamsambazia viungo,. Akishashikana na viungo vizuri utaongezea nazo yako ambayo ulishaichuja vizuri,.. utakoroga taratibu taratibu ili Nazi isijikate View attachment 3513026
Utaacha Kwa mda kidogo na mchuzi wako utakua tayari kama hiviView attachment 3513027
Hapo sasa unaweza ukaonja kama nilivyofanya Mimi hapo,. Na samaki wangu alikuwa sooooo tasty View attachment 3513029

Unaweza ukaserve na chochote,. Wali ugali au ndizi ila Mimi nilisave na wali wangu ambao mpaka namaliza kupika samaki ulikua umekwisha ivaView attachment 3513030

You can try it,. Na uenjoy mwenywe au na familia yako😍
70c9673a-94cd-42b7-b118-7d4ea1244d04.gif
 
Hi guys,.hope mko poa

Tunavyoendelea kumwomba Mungu kuelekea kesho D9 basi tusisahau kula..... Haya tuanze

Ukishaweka mchele wako kwenye rice cooker au vyovyote vile utakavyoupika,. Pembeni tutaanza kupika samaki,. Kwenye sufuria yako utaanza kuweka mafuta kidogo,. vitunguu hoho na carrot kama nlivyofanya Mimi hapo

View attachment 3512757

Ukishavikaanga vikiiva vizuri utaweka nyanya na chumvi kiasi then utaendelea kukaangaView attachment 3513023
Nyanya zikishaiva utaweka tomato paste kiasi utaendelea kupika dakika chache then utamweka samaki wako ambae ulishamtengeneza vizuri View attachment 3513024
Taratibu utamsambazia viungo,. Akishashikana na viungo vizuri utaongezea nazo yako ambayo ulishaichuja vizuri,.. utakoroga taratibu taratibu ili Nazi isijikate View attachment 3513026
Utaacha Kwa mda kidogo na mchuzi wako utakua tayari kama hiviView attachment 3513027
Hapo sasa unaweza ukaonja kama nilivyofanya Mimi hapo,. Na samaki wangu alikuwa sooooo tasty View attachment 3513029

Unaweza ukaserve na chochote,. Wali ugali au ndizi ila Mimi nilisave na wali wangu ambao mpaka namaliza kupika samaki ulikua umekwisha ivaView attachment 3513030

You can try it,. Na uenjoy mwenywe au na familia yako😍
Oyaaa mwachii...@Mwachiluwi...ikikupendeza embu jibu ili pishii nikuaminieee 😊😆
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom