Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 37,104
- 55,514
Unajua kupika vizuri sana, nataka nikukodi ukae nyumbani kwangu miezi miwili uwe unanipikia tu vitu adimu kama samaki.
Utuwekee ata likitok vibyPilau bado sijui kupika mkuu,.
Ila nitajaribu likitoka vizuri nitaweka Uzi😁😅
ha ha haHuu mtego siingii😁😂
Nitakua napika namtuma boda alete
Jiamin tuIli mnichambe😂😂
Wee sitaki
Nakutafuta sana huoni quotes zangu ? Mbamizwa kobaa cc secretarybirdMwachiluwi akiona huu uzi ataacha hata kufatilia tamthilia yake pendwa
PENZI LA BOSS NA DADA WA KAZI
Acha MBA MBA MBA😊😊😊 😆 NIMETAJA X3Kila mtu ni bora hatushindani kaka
Hongera kipenz umepika vizuri sana
😂😂😂Kesho ukae mbele kabisaUnajua kupika vizuri sana, nataka nikukodi ukae nyumbani kwangu miezi miwili uwe unanipikia tu vitu adimu kama samaki.
Wewe jamaa sijaina akili mbovu Jf na mitandao yote Duniani kukuzidi wewe cheki avatar ya kiMangoto na jina la Kipimbi . 🤣🤣Kayngay
Avatar yako inaniangalia kwa usongo sana , tatizo nini Jombis 🤣😃😀😂Nani kakuuliza?
Asante sana .Karibu
Siwezi kuingia mzigoni nikafa kizembe Kisha niache vitu kama hivyo kimasiharaMkuu,
Unaonaje Leo kikapikwa hiki cha mtume cha kutosha ili tule tushibe alafu kesho kibakie kiporo,asubuhi tukigonge kisha tuingie mzigoni kuandamana tukiwa tumeshiba?
Tusiuache huu mwaka upite, bila mimi na wewe kufanya jambo😂😂😂Kesho ukae mbele kabisa

