🤣🤣🤣Safi kupika kazi sana
Mi nimenunua mandazi nimechemsha maji ya karafuu nimekunywa basi...hapa nadinda hovyohovyo
😅Hicho kipengele Mungu kanipendelea Sana,. Hata Nile namna gani nitanenepa vingine ila sio
Hiyo kitu ni yawatoto wavunja keki bwashee, sisi tukomae na kiporo cha mihongo bwasheBwashee sisi waponda Kokoto tukila hivyo lazima tuzimie.
Mvivu wa kula uyoWewe Leejay49 utakufa wewe… Mwachiluwi ebu mpikie huyu asije konda zaidi
Ahaha mwambie akanunue maandaziHicho kinywaji/maziwa sawa, ndizi hapana kwa kweli , ungeweka hata karanga za kukaanga !
Hongera mwana dada, make sure Mwachiluwi hapiti bila kutia neno 😊
Leejay49 umesikia lakini ?Ahaha mwambie akanunue maandazi
Nilivyoona sukari na maziwa ya unga nikajua huyu pesa yake inamuua mwenyewe na alivyo anajiita ni WA mjini na ni msomi Ila hana ajualo kuhusuJe itafaa kutumia asali badala ya sukari kwenye mchanganyiko huo ?
Unakula chakula ambacho unaenda kuchafua mwili wako ,Mwee!🥺,. Wapi huko jamani nilijiita
Makande kale weweKale makande
Du. Mchanganyiko ambao sijawahi ona. Ndizi mbivu na kahawa? Nitakunywa kahawa kwanza na eg biscut au cake halafu ndizi baada ya kahawa.Hello 👋,.
Leo si nikapika bhana halafu nikalala nikasahau kupost wakati nlishapiga Hadi picha,..
Haya tuanze,. Ingredients ni ndizi mbivu,. Maziwa ya Unga,. Kahawa na sukari
Kwenye kikombe chako kisafi utaanza kuweka sukari kijiko kimojaView attachment 3443948
Utafatia na kahawa nusu au robo kijiko,. Mie nliweka robo kijiko cha chakulaView attachment 3443959
Then utaweka maziwa ya Unga vijiko viwili au vitatu kulingana na wewe unavyopendelea,. Mie nliweka vitatu View attachment 3443963
Baada ya hapo utamiminia maji yako ambayo ulishachemsha kama hiviView attachment 3443968
Make sure umekoroga vizuri kabisaa maziwa yasijiweke mabongebonge View attachment 3443973
Then chukua ndizi yako mbivu imenye vizuri unakunywa na chai kama hivi,. Very simple huwashi hata jiko yaaniView attachment 3443975
Sema hii ndizi bhana😌,,. Anyway nilienjoy breakfast yanguView attachment 3443980
KasikiaLeejay49 umesikia lakini ?