Tupike simple and light breakfast

Tupike simple and light breakfast

Hello 👋,.
Leo si nikapika bhana halafu nikalala nikasahau kupost wakati nlishapiga Hadi picha,..

Haya tuanze,. Ingredients ni ndizi mbivu,. Maziwa ya Unga,. Kahawa na sukari

Kwenye kikombe chako kisafi utaanza kuweka sukari kijiko kimojaView attachment 3443948

Utafatia na kahawa nusu au robo kijiko,. Mie nliweka robo kijiko cha chakulaView attachment 3443959

Then utaweka maziwa ya Unga vijiko viwili au vitatu kulingana na wewe unavyopendelea,. Mie nliweka vitatu View attachment 3443963

Baada ya hapo utamiminia maji yako ambayo ulishachemsha kama hiviView attachment 3443968

Make sure umekoroga vizuri kabisaa maziwa yasijiweke mabongebonge View attachment 3443973

Then chukua ndizi yako mbivu imenye vizuri unakunywa na chai kama hivi,. Very simple huwashi hata jiko yaaniView attachment 3443975

Sema hii ndizi bhana😌,,. Anyway nilienjoy breakfast yanguView attachment 3443980
Mm nachukia ndizi
 
Kumbe hiyo ndio lunch?
Mimi nilifikiri anakula huo mlo ili tu kusubiri mpaka chakula chenyewe kiive.
😀
Dah 😂 😂,. Hiyo ilikua breakfast
Lunch mbona nmetoka kuwakaribisha huko comments za juu
DSC_0159.JPG
 
Chai na ndizi mbivu 🙌🙌

Halafu kuna watu wanasema ati hakuna jipya chini ya jua!
Ni wewe tu na ugeni wako wa vitu, chai ni kifungua kinywa kupasha mwili joto na kuukunjua utumbo na akaweka na ndizi kama tunda safi kabisa sasa ajabu ni nini,ulitegemea vitumbua sio lazima choice nzuri kiafya aliyoichagua
 
Back
Top Bottom