Dabil
JF-Expert Member
- Sep 30, 2021
- 5,885
- 13,263
Mbona Marais wa baadaye hakuingia sana hukoRais wa tff huyo wa zamani
Mbona Marais wa baadaye hakuingia sana hukoRais wa tff huyo wa zamani
Sijui hata aliishia wapi baada ya kutemana na SimbaDuh ina maana hadi sasa hana hata timu anayochezea?
Vamelin wa Arsenal
Mtu kwelikweliVictor Costa nampoka nyumba
Alikua kitasa pale msimbazi
Salum swedi
Nadir Harub Cannavaro
Elgobert Song (Cameroon)
Rio Ferdinand
Mabeki wa pembeni haoBABAYARO
Abdurahman Juma [ MANGALA young Africans]
VermalenVamelin wa Arsenal
Mabeki wa pembeni hao
Hapo napo watakuwa wamekosea?Wewe unaujua mpira kweli? Utawaita hao mabeki wa pembeni? Inawezekana hukuwaona enzi zao walipocheza!!!
Kiungo mkabaji
mimi sijui ila nambie nafasi ya babayaro ni ipi uwanjani?