jerryempire
JF-Expert Member
- Jan 4, 2017
- 5,091
- 8,547
jamani tupeane uzoefu siku yako ya kwanza kuja dar ws salaam aka bongo ilikuwaje?
na je kwanin vijana wengi wanaoishi dar hawana maendeleo kiasi cha kushindwa na wageni wanaotoka mikoani kwa maisha mazuri?
na je kwanin vijana wengi wanaoishi dar hawana maendeleo kiasi cha kushindwa na wageni wanaotoka mikoani kwa maisha mazuri?