ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 19,554
- 44,723
Heshima kwenu wanabodi,
Wakubwa shikamooni,
Ninaleta Uzi huu lengo tuweke wazi matukio ya wizi ambayo yamerudi kwa kasi nchini. Naombeni tuonyeshe jinsi gani wajanja wa mjini wanatuumiza. Imefika kipindi mpaka watu wameuawa kisoosoo. Watu wanaibiwa maduka sio poa.
Okay, kwa kuanza binafsi nataka niwasimulie matukio yalitokea mjini kwetu Singida mtaani kwetu Mwenge na kama wahusika wapo mjue kinachoendelea.
Kwanza nawapongeza jeshi la polisi kwa doria mnazofanya katika mabanda ya kuuza gongo kwa kweli wauza gongo hii week wamekaa kimachale sana wamekaa kindege John kwani hawauzi kama mwanzo licha ya kwamba kipindi Magufuli anahusika na serikali aliwakataza kuwazuia wauza gongo tonge lao mdomoni. Pia na wauza bangi nimeshuhudia wamekamatwa sana.
Matukio ya wizi ni kama ifuatavyo; kuna mtu karakana kaibiwa simu ndani kwake tena mchana, kuna mwingine kaibiwa duka Madera yamechukuliwa yote, kuna mwingine kaibiwa mashine ya kushona, mwingine juzi kaibiwa spares za magari, mwingine kakabwa kaibiwa 30000.
Haya ni baadhi tu jamani mambo yameharibika kiufupi uwizi umezidi kiwango ndugu waziri wa mambo ya ndani tusaidie tutaisha Kama mnaona iko haja msaidiwe na jeshi la JKT au mgambo Basi itakuwa vema.
Wakubwa shikamooni,
Ninaleta Uzi huu lengo tuweke wazi matukio ya wizi ambayo yamerudi kwa kasi nchini. Naombeni tuonyeshe jinsi gani wajanja wa mjini wanatuumiza. Imefika kipindi mpaka watu wameuawa kisoosoo. Watu wanaibiwa maduka sio poa.
Okay, kwa kuanza binafsi nataka niwasimulie matukio yalitokea mjini kwetu Singida mtaani kwetu Mwenge na kama wahusika wapo mjue kinachoendelea.
Kwanza nawapongeza jeshi la polisi kwa doria mnazofanya katika mabanda ya kuuza gongo kwa kweli wauza gongo hii week wamekaa kimachale sana wamekaa kindege John kwani hawauzi kama mwanzo licha ya kwamba kipindi Magufuli anahusika na serikali aliwakataza kuwazuia wauza gongo tonge lao mdomoni. Pia na wauza bangi nimeshuhudia wamekamatwa sana.
Matukio ya wizi ni kama ifuatavyo; kuna mtu karakana kaibiwa simu ndani kwake tena mchana, kuna mwingine kaibiwa duka Madera yamechukuliwa yote, kuna mwingine kaibiwa mashine ya kushona, mwingine juzi kaibiwa spares za magari, mwingine kakabwa kaibiwa 30000.
Haya ni baadhi tu jamani mambo yameharibika kiufupi uwizi umezidi kiwango ndugu waziri wa mambo ya ndani tusaidie tutaisha Kama mnaona iko haja msaidiwe na jeshi la JKT au mgambo Basi itakuwa vema.