Kwahiyo 'Majambazi' tutajane hapa au?Nchi hii ni Mali yetu. Usalama wetu ndio amani yetu hapa Duniani. Hatuwezi kuishi na watu wachache mtaani wasiopenda kufanya kazi wakasubiri tufanye kazi wao waje wakwapue na kwenda kukaa viti virefu kuneemeka...
Kwa uchaguzi wa mwaka Jana , polisi wenyewe Ni majambazi tu. Askari gani wanashiriki kuiba kura. What goes around, comes around. walibaka taifa letu mchana kweupe wakadhania itapita hivihivi.Nchi hii ni Mali yetu. Usalama wetu ndio amani yetu hapa Duniani. Hatuwezi kuishi na watu wachache mtaani wasiopenda kufanya kazi wakasubiri tufanye kazi wao waje wakwapue na kwenda kukaa viti virefu kuneemeka...
Huo ndo ujinga aliofanya Magufuri. Two wrongs does not make it right. Siro mwenyewe alijambazia uchaguzi . Tuliwambia haki huinua Taifa hamkuelewa. Kila mtu apambane kivyake kwa sasaMagufuli alitumia mbinu za Rwanda kuwamaliza majambazi na Sirro anazijua mengine tutapiga kelele tu, Sirro atumie idara zake na mbinu zilezile kumaliza ujambazi ushahidi mnao, rekodi mnazo mnasubiri wafanye matukio ndio mkawakamate hapana, watafuteni majambazi, wakamateni hata kabla ya matukio kikubwa msiwaonee raia wema wasio na hatia
Maeneo hatarishi nchini kwa sasa ni maeneo yafuatayo na polisi wazingatie;- milima kintonga, milima senkenke, milima wa low gear babati, eneo la barabara Kati ya kahama kwenda hadi Runzewe, eneo la barabara Kati ya katoro hadi Geita mjini, eneo la biharamulo hadi bukoba, wami chalinze, eneo la ziro ziro hadi tarime,eneo la mikumi morogoro, IGP Linda haya maeneo ni hatarishi hasa muda wa usikuNchi hii ni Mali yetu. Usalama wetu ndio amani yetu hapa Duniani. Hatuwezi kuishi na watu wachache mtaani wasiopenda kufanya kazi wakasubiri tufanye kazi wao waje wakwapue na kwenda kukaa viti virefu kuneemeka...
Anaweza kukujibu mwisho ni elfu 20,ili akufurahishe. Halafu ukipeleka inapokelewa kisha unaambiwa subiri tunafatilia, kumbe file lako linaliwa na panya.Fagia kwanza Police hasa detectives na hao Inspectors hasa hapo oysterbay!
Tena simamia mwenyewe maana shidah wengi ni ndg au jamaa wamaofisa au wana marefa wanawabeba...
Hatuwezi tukawa wanafiki! Wahalifu wapo, wanajulikana.Nchi hii ni Mali yetu. Usalama wetu ndio amani yetu hapa Duniani. Hatuwezi kuishi na watu wachache mtaani wasiopenda kufanya kazi wakasubiri tufanye kazi wao waje wakwapue na kwenda kukaa viti virefu kuneeme....
Anaweza kukujibu mwisho ni elfu 20,ili akufurahishe. Halafu ukipeleka inapokelewa kisha unaambiwa subiri tunafatilia, kumbe file lako linaliwa na panya.
Sent from my INE-LX1r using JamiiForums mobile app
Aseme kazi ya jeshi lake ni nini.Sirro alisema kila mwananchi ni wajibu wake kujilinda
Soma Tena!!Hawakuridhi KAZI za babu zao nini!? Aje Kanisani au Misikitini polisi watakosa wafungwa kabisa!?
Jambazi namba moja hiliTunahitaji matokeo si pojoro