Tupeane mbinu kuhusu Online Teachers Application Sytem (OTEAS)

Tupeane mbinu kuhusu Online Teachers Application Sytem (OTEAS)

Hivi jamani iyo barua tunaandika Kwa mkono au lazma iwe typed na computer? Mwenye kufahamu tafadhari tujuzane
 
Ndugu naomba link
nimeweza kulogin na kutuma maombi.. changamoto ni stage ya mwisho pale kwenye applicant teaching subjects, inaonekana masomo ya kufundishia hayapo yote, labda wayaupdate kadri muda unaokwenda
 
Waungwana kuna mtu amefanikiwa?jana ilifunguka kidogo sana na sikuweza kufanya chochote.tokea huo muda mpaka saizi haifunguki
 
Waungwana kuna mtu amefanikiwa?jana ilifunguka kidogo sana na sikuweza kufanya chochote.tokea huo muda mpaka saizi haifunguki
Kwa kweli ni majanga acha tuendelee kasubiri maana Mimi sijawahi hata kufungua iyo system
 
i think wanaifanyia maboresho itakuja kukaa sawa tu wala tusiwe na presha ndugu Walimu watarajiwa hii ni kazi kwaajili yetu na system ikiendelea kugoma i hope watataoa orodha watu waripoti moja kwa moja we unacxhezea serikali ya magufuli hiatagak wannch wateseke
 
Leo nimekesha nikiwa najaribu kuingia kwenye mfumo, ila sikufanikiwa hata kufika eneo la ku login.
 
hiii system majanga sana hawajifunzi kule tume ya ajira kule kiulaini unaomba
 
aliyefanikiwa atuambie ametumia browser gani maanani mizinguo sana
 
Back
Top Bottom