Oxpower
JF-Expert Member
- Jan 15, 2012
- 2,142
- 2,998
habari za uzima wana jamvi.
September 3 2020 waziri wa Tamisemi Seleman Jafo alitangaza nafasi za walimu msingi na sekondari.
Alidai dirisha litafunguliwa tar7 yani leo.
Sasa shida iko hivi,huu mfumo upo bize sana,hivyo naomba tupeane mbinu za kuingia kirahis na kujisajili kiufasaha.
Mimi nina lisaa mpaka saizi,hiyo form sijaiona,wala sehemu ya kulog in sijaipata.kila nikingia nakutana na tangazo la hizo ajira ,tangazo lipo katika mfumo wa picha/poster.
September 3 2020 waziri wa Tamisemi Seleman Jafo alitangaza nafasi za walimu msingi na sekondari.
Alidai dirisha litafunguliwa tar7 yani leo.
Sasa shida iko hivi,huu mfumo upo bize sana,hivyo naomba tupeane mbinu za kuingia kirahis na kujisajili kiufasaha.
Mimi nina lisaa mpaka saizi,hiyo form sijaiona,wala sehemu ya kulog in sijaipata.kila nikingia nakutana na tangazo la hizo ajira ,tangazo lipo katika mfumo wa picha/poster.