Ahmed Saidi
JF-Expert Member
- Oct 15, 2019
- 1,667
- 3,584
Hata hiyo midnight haikubaliHiii dawa yake ni ku log in midnight...
Hata hiyo midnight haikubaliHiii dawa yake ni ku log in midnight...
Nashukuru sanaWapigieni simu muwaulize wanatatizo gani.
0754991988
0652579642
Mkuu umefanikiwa vipi?. Umetumia utaratibu gani?.nimeweza kulogin na kutuma maombi.. changamoto ni stage ya mwisho pale kwenye applicant teaching subjects, inaonekana masomo ya kufundishia hayapo yote, labda wayaupdate kadri muda unaokwenda
Tumia bando la tigo mkuu mi pia nimemalizaMkuu umefanikiwa vipi?. Umetumia utaratibu gani?.
Kivipi hii?Tumia bando la tigo mkuu mi pia nimemaliza
Dah uliza vizuri mkuuKivipi hii?
Kwanini tigo? Umetumia hii hii ajira.tamisemi.go.tz ? Hapa nilipo voda ipo spidi lakini tangu jana chaliiDah uliza vizuri mkuu
Iko na nguvu voda halotel wanaelemewaKwanini tigo? Umetumia hii hii ajira.tamisemi.go.tz ? Hapa nilipo voda ipo spidi lakini tangu jana chalii
Ngoja nijaribuIko na nguvu voda halotel wanaelemewa
Mfumo wa Maombi ya AjiraNgoja nijaribu
Kila la heriNgoja nijaribu
Mkuu natumia tigo, naniko sehem nzuri ambayo inashuka vizuri lkn inagoma lkn system inagoma.Tumia bando la tigo mkuu mi pia nimemaliza
Mi hapa nilipo nalog in na log out at anytimeMkuu natumia tigo, naniko sehem nzuri ambayo inashuka vizuri lkn inagoma lkn system inagoma.
Duu mkuu ulikuwa ushajisajiliwa kwenye system tayari?.Mi hapa nilipo nalog in na log out at anytime
Huu ndio ukweli site imejam.Hao wanaofanikiwa ni kama zari tu, na hiyo inatokea pale ambapo yule aliyepata access ya ku-login akishamaliza kutuma maombi basi nafasi yake ndio inayo gombaniwa
Hii site ishakua jammed. Ni sawa na jagi lenye uwezo wa kuhifadhi maji lita moja halafu ukataka kufosi uweke lita nne
acha uongo..kijanaMi hapa nilipo nalog in na log out at anytime