Pamoja na kioo kizuri, nguvu ya simu mimi navutiwa na teknolojia mpya. Napenda sana sana Simu yangu inapo switch kwenda kwenye vibration automatic pindi nnapokua kazini na kurudi kwenye mlio nnapokua nyumbani na barabarani. Hivyo hivyo kuwasha wi-fi automatic pale nnapofika sehemu zenye wifi nnazo tumia mara kwa mara. Pia napenda performance ya uhakika na network syable hasa ninapocheza game langu pendwa Pubg sipendi kuona simu inastack kwani itaniweka kwenye competitive disadvantage.