Tupange wizara zetu kulingana na umuhimu wake

Mtazamaji

JF-Expert Member
Feb 29, 2008
5,937
1,437
Wakuu napenda kujua au tusaidiane kupanga wizara kulingana na umuhimu wake wa Nchi yetu.

Mfano Mara nyingi naona kama na kuna waziri na wizara ya mambo nje inaoenekana ni muhimu sana kuliko wizara kama ya Kilimo, Madini Utalii.

Je
  • Tanzania tuna haja ya kuipa kpipaumbele wizara ya mambo ya nje kama wafanyavyo USA, UK?
  • Tunaweza Kusadiana kupanga wizara zetu ulingana na umuhimu wake?
  • Viapaumbele (Priority) zetu na za serikali zinakwenda sawa na hali halisi.
  • Unyeti au umuhimu wa wizara ya mambo ya nje unatokana na nini hasa. Tuna maslahi gani nchi gani ya kiasi gani?

Naaanza kwa mtazamao wangu hizi ndizo wizara muhimu tano kwa kufuata mpangilio.

  • Madini na Nishati
  • Kilimo
  • Utalii
  • Fedha na Mipango
  • Ulinzi na mambo ya ndani
Wewe kwako wizara tano muhimu ni zipi?
Nawasilisha kwa mjadala
 
Nadhani uko sahihi kama viongozi wanaoteua na kuteuliwa kuongoza wizara kama za madini na nishati,kilimo,uvuvi na mifugo,utalii,ulinzi,fedha na viwanda wangetambua umuhimu wa hizo wizara,basi tungepiga hatua.
 
Nadhani uko sahihi kama viongozi wanaoteua na kuteuliwa kuongoza wizara kama za madini na nishati,kilimo,uvuvi na mifugo,utalii,ulinzi,fedha na viwanda wangetambua umuhimu wa hizo wizara,basi tungepiga hatua.

Inashangaza kwa kweli eti Wizara ya mambo ya nje ndio kama Kipimo cha Kupata rais(CCM way). Tanzania imekuwa kama USA a UK.

Nchi kama UK na USA mambo ya nje yanachangia sana kwenye uchumi wao sabbau ya mammbo yao. Nchi hizo hizo hata mambo ya Ulinzi ni muhimu sababu export yao kubwa(uchumi) inatokana na Kuuza vifaa vya jeshi. Kwa hiyo tunaona wenzetu hizi wizara zao ziko juu zaidi ya nyingine sababu ya mchango wake.

Sasa Tanzania Priority zetu kiwizara iko wapi?
 
Napita tu lakini kwa maoni yangu amna wizara muhimu popote pale duniani zaidi ya fedha, kwa sababu hawa ndio orchestrator's wa wizara zote na wizara nyingi zinaweza fuata policies zao and even policing their policies through through the budget offered. Its this ministry that is supposed liaise with all other ministries to monitor income losses and even to a large extent influence their policies. Jamani msifanye mchezo na dhamana aliyoachiwa Mkullo (the guy is an empty can) sijui kwa nini wengine amuoni hilo. Hizo zingine nne sijui hila mambo ya nje in my opinion is next for the sake of national interest abroad.
 
Napita tu lakini kwa maoni yangu amna wizara muhimu popote pale duniani zaidi ya fedha, kwa sababu hawa ndio orchestrator's wa wizara zote na wizara nyingi zinaweza fuata policies zao and even policing their policies through through the budget offered. Its this ministry that is supposed liaise with all other ministries to monitor income losses and even to a large extent influence their policies. Jamani msifanye mchezo na dhamana aliyoachiwa Mkullo (the guy is an empty can) sijui kwa nini wengine amuoni hilo. Hizo zingine nne sijui hila mambo ya nje in my opinion is next for the sake of national interest abroad.

Naomba nitofautiane na wewe kidogo

YEs wizara ya fedha ni muhimu lakini umuhimu wa wizara na plolicy za mambo ya fedha ulivyo UK sio umuhimu wa wizara na fedha ulivyo Japana au Germany.Kwa UK wizara ya fedha ni moyo Kwa germany Industry ndiyo moyo. Kwa Tanzani wizara y fedha siyo moyo.

UK ni financial sector driven economy . Mambo ya financial service kwa UK ni "industry". Lakini Ukija ujerumani au Japan au China yes wizaraya fedha ni muhimu lakini umuhimu wake hauzidi wa "manufacturing". Sabau hizi nchi ( Germany, Japan, china) Ni ni manufacturing driven Economy.


Ukienda nchi kwa uswis inaweza kuwa na Priirity Tofauti. Uswisi ni neutral country kama zilivyo scandnavia nyingi. So mambo ya nje hayawezi kuwa muhimu sana kwao kama ilivyo kwa nchi kama USA, UK, Franc, Russia na sasa china. una nchi kuwa na balozi ni formalities tu lakini kuna nchi kuwa a balozi ni zaidi ya uhusiano wa kidiplomasia. Cable za USA zinaonyesha hivyo

Mimi naona Wizara ya fedha ya Tanzania si muhimu sana kuliko Wizara ya Madini, Kilimo au hata utalii . Hii ya nje kwa Tanzania ndio hata sijui interest zetu abroad ni nini mpaka iwe ni wizara inayopea priority kubwa zaidi. Mpaka iwe ni wizara amabyo ndiyo daraja la marais.
 
Nafikiri kwetu ingekuwa wizara ya elimu, ikifuatiwa na wizara ya kilimo na mifugo, ikifuatiwa na wizara ya biashara na masoko..
 
Naomba nitofautiane na wewe kidogo

YEs wizara ya fedha ni muhimu lakini umuhimu wa wizara na plolicy za mambo ya fedha ulivyo UK sio umuhimu wa wizara na fedha ulivyo Japana au Germany.Kwa UK wizara ya fedha ni moyo Kwa germany Industry ndiyo moyo. Kwa Tanzani wizara y fedha siyo moyo.

UK ni financial sector driven economy . Mambo ya financial service kwa UK ni "industry". Lakini Ukija ujerumani au Japan au China yes wizaraya fedha ni muhimu lakini umuhimu wake hauzidi wa "manufacturing". Sabau hizi nchi ( Germany, Japan, china) Ni ni manufacturing driven Economy.


Ukienda nchi kwa uswis inaweza kuwa na Priirity Tofauti. Uswisi ni neutral country kama zilivyo scandnavia nyingi. So mambo ya nje hayawezi kuwa muhimu sana kwao kama ilivyo kwa nchi kama USA, UK, Franc, Russia na sasa china. una nchi kuwa na balozi ni formalities tu lakini kuna nchi kuwa a balozi ni zaidi ya uhusiano wa kidiplomasia. Cable za USA zinaonyesha hivyo

Mimi naona Wizara ya fedha ya Tanzania si muhimu sana kuliko Wizara ya Madini, Kilimo au hata utalii . Hii ya nje kwa Tanzania ndio hata sijui interest zetu abroad ni nini mpaka iwe ni wizara inayopea priority kubwa zaidi. Mpaka iwe ni wizara amabyo ndiyo daraja la marais.

Nadhani una-underestimate one crucial element ya wizara ya fedha hawa jamaa ndio wanao sate targets na mbinu za kukuza uchumi na kipato cha serikali. Kwa maana hiyo tax codes zote zinatoka kwao ambazo zina affect wizara zote na budget ya wizara zote zinapangwa na hawa jamaa, wao wanaweza amua wizara yoyote hii expand policy zao au ijibane. Na haya mambo ndio yana effects kwenye jamii and policy makers.

Hiwe Ujerumani au hiwe China kokote pale duniani hawa jamaa ndio wenye influence ni policies zao ndio zinaweza paisha wizara zote zinazo ambatana na ukuaji wa uchumi, ulinzi na hata maendeleo ya jamii. Money talks sir apart from that ni hadithi, ni hawa jamaa wanaoweza liekeza taifa kama policies za posho za wabunge, per-diems na mengineyo yanawezekana ama hadithi na hawa hawa jamaa wanaweza sema ulinzi ukatiwe kiasi fulani au kusema programmes fulani ziwe abandoned. Na vyovyote watavyoamua lazima mwingine awe affected. Kama ni jeshi kipaumbele ujue sehemu zingine zita hathirika na hata huko ujerumani uchumi wao hupo much depended na tax rates (ambayo wizara ya fedha inatunga) and innovations (ambayo wizara ya fedha inatenga hela). In short hakuna wizara muhimu dunuiani kama hii. Zinazo fuata ni foreign, home and security, dont ask me the order of importance.
 
Nafikiri kwetu ingekuwa wizara ya elimu, ikifuatiwa na wizara ya kilimo na mifugo, ikifuatiwa na wizara ya biashara na masoko..

Mkuu sawa lakini elimu kama ilivyo afya hizi ni key service delivery Minsitries . Nachongolea kuna zile wizara ambazo output ya policy zake na mafanikio yake e ndio zitawezesha hata hata elimu , afyana nyingine zifanye kazi kwa ufanisi zaidi. But anyway tunawezza tusikubaliane lakini nimekuwa najiuliza kwa Nini wizara ya je inaonekan ina hadhi kubwa kuliko Kilimo. Au wa nn ulinzi uwe na hdhi kubwa kuliko Madini. Priority zetu ziko wapi?

Nadhani una-underestimate one crucial element ya wizara ya fedha hawa jamaa ndio wanao sate targets na mbinu za kukuza uchumi na kipato cha serikali. Kwa maana hiyo tax codes zote zinatoka kwao ambazo zina affect wizara zote na budget ya wizara zote zinapangwa na hawa jamaa, wao wanaweza amua wizara yoyote hii expand policy zao au ijibane. Na haya mambo ndio yana effects kwenye jamii and policy makers.

Hiwe Ujerumani au hiwe China kokote pale duniani hawa jamaa ndio wenye influence ni policies zao ndio zinaweza paisha wizara zote zinazo ambatana na ukuaji wa uchumi, ulinzi na hata maendeleo ya jamii. Money talks sir apart from that ni hadithi, ni hawa jamaa wanaoweza liekeza taifa kama policies za posho za wabunge, per-diems na mengineyo yanawezekana ama hadithi na hawa hawa jamaa wanaweza sema ulinzi ukatiwe kiasi fulani au kusema programmes fulani ziwe abandoned. Na vyovyote watavyoamua lazima mwingine awe affected. Kama ni jeshi kipaumbele ujue sehemu zingine zita hathirika na hata huko ujerumani uchumi wao hupo much depended na tax rates (ambayo wizara ya fedha inatunga) and innovations (ambayo wizara ya fedha inatenga hela). In short hakuna wizara muhimu dunuiani kama hii. Zinazo fuata ni foreign, home and security, dont ask me the order of importance.

Sijaunderistame mkuu Kwanza nieleweke wizara zote ni muhimu.Lakini kuna issue ya Pririty kulinga na mazingira yetu, resources zetu na uwezo wetu. Kama ni suala la mipango kila wizara inatakiwa kuwa mipango yake. Kwa Tanzania Wizara ya fedha ni muhimu lakini sio muhimu Kama wizara ya madini, kilimo.
Yes hata taifa la Israel wizaraya fedha ni muhimu lakini umuhimu wake hauzidi wizaraya Ulinzi. Nachojaribu kuonyeshani priority tofauti tofauti nchi zilizonaz utoka na mazngira yao.

Kwa hiyo wakati naubalina na wewe umuhimu wa wizara yafedha lakini ama mimi ningekuwa president basi twice a week ningekuwa na brief seesion na waziri wa kilimo, madini, utalii na maramoja ila baada ya wiki mbili ningekuwa na brief seesionna waziri wa fedha. To me those are my priority.

Tanzania yetu key ministries zinazotakiwa zifuatilwe kwa karbu na kupewa kipumbele zinappuuziwa in favour ya mambo ya nje, Ulinzi. Hta nchi ama norwayzina wizara ya ulinzi lakini sabbau ni neutral umuhimu wake si mkubwa kama ilivyo kwa waendesha vita.

Waziri (secretary)wa ulinzi wa mrekani anajulikana duniani kuliko hata waziri wa fedha . Kwa nini? Wizara y fedha ya US i muhimu lakini Priorityya US iko kwenye ulinzi zaidi. KWa hiyo abla y wizaray fedha tungalie ni wzara gani italeta mzunguko wa pesa kutoana na sera zake
 
Sijaunderistame mkuu Kwanza nieleweke wizara zote ni muhimu.Lakini kuna issue ya Pririty kulinga na mazingira yetu, resources zetu na uwezo wetu. Kama ni suala la mipango kila wizara inatakiwa kuwa mipango yake. Kwa Tanzania Wizara ya fedha ni muhimu lakini sio muhimu Kama wizara ya madini, kilimo.
Yes hata taifa la Israel wizaraya fedha ni muhimu lakini umuhimu wake hauzidi wizaraya Ulinzi. Nachojaribu kuonyeshani priority tofauti tofauti nchi zilizonaz utoka na mazngira yao.

Kwa hiyo wakati naubalina na wewe umuhimu wa wizara yafedha lakini ama mimi ningekuwa president basi twice a week ningekuwa na brief seesion na waziri wa kilimo, madini, utalii na maramoja ila baada ya wiki mbili ningekuwa na brief seesionna waziri wa fedha. To me those are my priority.

Tanzania yetu key ministries zinazotakiwa zifuatilwe kwa karbu na kupewa kipumbele zinappuuziwa in favour ya mambo ya nje, Ulinzi. Hta nchi ama norwayzina wizara ya ulinzi lakini sabbau ni neutral umuhimu wake si mkubwa kama ilivyo kwa waendesha vita.

Waziri (secretary)wa ulinzi wa mrekani anajulikana duniani kuliko hata waziri wa fedha . Kwa nini? Wizara y fedha ya US i muhimu lakini Priorityya US iko kwenye ulinzi zaidi. KWa hiyo abla y wizaray fedha tungalie ni wzara gani italeta mzunguko wa pesa kutoana na sera zake

Kaka nadhani hili suala wewe unaliangalia from the bottom up instead of the other way round. Ni hivi sibishi kama hizo wizara ni muhimu lakini ni for those ministiries to perform well they depend on budgetary and fiscal policies of the government of the time. Na government advisors ni wizara ya fedha kama ni kwenda vitani au kutenga mashamba ni wizara ya fedha ndio inatenga budget na wao pia wanaweza influence kilimo kutokana policies zao. Wanaweza kukuza kilimo au kuua kilimo kwa wakulima kutokana na taxes set kwa wakulima or how much leeway wanataka kuwaachia wakulima wawe nayo hili kukuza kilimo.

Kwa maana hiyo hata huko marekani hili wavamie nchi lazima wawe na budget ya kutosha hili kwenda huko vitani kama wakikopa ujue wizara ya fedha ndio inaamua kama ni affordable or not na khali ya uchumi ikoje. Ndio maana unaona nchi kama UK sasa imebidi wajinyime na wa scrap some of their submarines and fighter-jets kwa sababu jamaa wamewaambia they can not afford to maintain them any longer, jeshi imebidi lipunguzwe na hata marekani sasa wameambiwa wapunguze some of the army expenditures especially on the new programmmes. Ndio ujue hawa jamaa are important of course before they make decisions they do liaise with other ministiries official experts to make sure the cuts do not affect anything largely.

Na wizara zote za ndani ndio kabisa ujue policies zao zipo heavily decided na what the ministry of finance sets. Yaani wao ni kama watekelezaji wa wizara ya fedha hawa jamaa wanamajukumu mengi sana kuliko unavyodhani, contract za madini na tax zote zinapangwa na hawa jamaa. kwa hivyo ngeleja ni mtekelezaji tu na kama budget inapotea ujue imetokea waizara ya fedha ndio maana vyombo kama government auditors au tax regulators are very important organs nchi za wenzetu na wote wapo chini ya wizara ya fedha.
 
Wakuu napenda kujua au tusaidiane kupanga wizara kulingana na umuhimu wake wa Nchi yetu.

Mfano Mara nyingi naona kama na kuna waziri na wizara ya mambo nje inaoenekana ni muhimu sana kuliko wizara kama ya Kilimo, Madini Utalii.

Je
  • Tanzania tuna haja ya kuipa kpipaumbele wizara ya mambo ya nje kama wafanyavyo USA, UK?
  • Tunaweza Kusadiana kupanga wizara zetu ulingana na umuhimu wake?
  • Viapaumbele (Priority) zetu na za serikali zinakwenda sawa na hali halisi.
  • Unyeti au umuhimu wa wizara ya mambo ya nje unatokana na nini hasa. Tuna maslahi gani nchi gani ya kiasi gani?
Naaanza kwa mtazamao wangu hizi ndizo wizara muhimu tano kwa kufuata mpangilio.
  • Madini na Nishati
  • Kilimo
  • Utalii
  • Fedha na Mipango
  • Ulinzi na mambo ya ndani
Wewe kwako wizara tano muhimu ni zipi?
Nawasilisha kwa mjadala

Mkuu, kwa mpangilio uliouweka hapo juu, ninachelea kusema chochote
hasa baada ya kupitia wizara hizo kuangalia mawaziri wanaoziongoza...
 
Wakuu napenda kujua au tusaidiane kupanga wizara kulingana na umuhimu wake wa Nchi yetu.

Mfano Mara nyingi naona kama na kuna waziri na wizara ya mambo nje inaoenekana ni muhimu sana kuliko wizara kama ya Kilimo, Madini Utalii.

Je
  • Tanzania tuna haja ya kuipa kpipaumbele wizara ya mambo ya nje kama wafanyavyo USA, UK?
  • Tunaweza Kusadiana kupanga wizara zetu ulingana na umuhimu wake?
  • Viapaumbele (Priority) zetu na za serikali zinakwenda sawa na hali halisi.
  • Unyeti au umuhimu wa wizara ya mambo ya nje unatokana na nini hasa. Tuna maslahi gani nchi gani ya kiasi gani?
Naaanza kwa mtazamao wangu hizi ndizo wizara muhimu tano kwa kufuata mpangilio.
  • Madini na Nishati
  • Kilimo
  • Utalii
  • Fedha na Mipango
  • Ulinzi na mambo ya ndani
Wewe kwako wizara tano muhimu ni zipi?
Nawasilisha kwa mjadala

Umuhimu wa wizara unatokana na jambo linalopewa kipaumbule. Sasa hivi Tanzania tatizo kubwa zaidi ni umaskini na rushwa, kama hivyo vikiendelea hakuna lolote la maana litakalofanyika.
 
Mkuu, kwa mpangilio uliouweka hapo juu, ninachelea kusema chochote
hasa baada ya kupitia wizara hizo kuangalia mawaziri wanaoziongoza...

Hizo wizara alizozitaja ndo zinaongoza kuwa na Na Mawaziri wabovu to kitambo pamoja na wizara ya elimu
 
Umuhimu wa wizara unatokana na jambo linalopewa kipaumbule. Sasa hivi Tanzania tatizo kubwa zaidi ni umaskini na rushwa, kama hivyo vikiendelea hakuna lolote la maana litakalofanyika.

Kwa hiyo mkuu umuhimu wa wizara ya mambo ya nje kuonekana iko juu zadii ya ile ya kilimo ni kutokana na kipuambele gani? Is it Misaaada au is it sabbau tunaiga USA, UK wakati vipaumbele vyetu ni tofauti
 
Wizara muhimu ni Elimu.

Nafikiri kwetu ingekuwa wizara ya elimu, ikifuatiwa na wizara ya kilimo na mifugo, ikifuatiwa na wizara ya biashara na masoko..

Wizara ya elimu ni muhimu lakini sio wizara inayotegemewa kugenerate cash. Wizara ya Ulinzi USA na UK ni muhimu kuliko za elimu kwa sbabu hiyo kuu.
Foreign currnecy na pesa hata ya kuendesha elimu inapatika kupitia wizara kama hizo.. KWa hiyo Elimu na afya ni wizara muhimu kihuduma lakini sio wizara za mapato ni wizara za matumizi.

Tanzania wizara ambazo ni za mapato kwa sasa Ni Madini, Utalii,Kilimo na Mifugo , fedha na Viwanda na masoko.

Ukionda wizara ya Elimu nadhani topical tupo pamoja
 
Inategemea unaweka kipaumbele kwenye kitu gani. Kama lengo ni kuboresha maisha ya mtanzania wa sasa mwenye hali duni, wizara muhimu na zinazohitaji kuboreshwa ni

1. Afya
2. Elimu
3. Kilimo na Chakula
4. Viwanda, biashara, na masoko
5. Miundo mbinu

Wizara ya fedha inafuata baada ya hapo kwa vile inategemea performance ya wizara nilizozitaja ili iweze kugenerate mapato ya kutosha badala ya kutegemea fedha za wafadhili
 
Back
Top Bottom