Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 39,783
- 61,446
- Thread starter
- #81
Lazima akuite hivyo, kwa sababu umempelekea mapato.Mimi najulikana kama Dalali Juma Bakari.
Hata nikiwa kanisani mchungaji wetu hupenda kuniita kwa jina hilo hilo.
Lazima akuite hivyo, kwa sababu umempelekea mapato.Mimi najulikana kama Dalali Juma Bakari.
Hata nikiwa kanisani mchungaji wetu hupenda kuniita kwa jina hilo hilo.
Pesa na madaraka zinalevya hasa kwa watu maskini ambao wanapata hela na madaraka ukubwani.Bila kumsahau, Jiwe, kiongozi wa malaika mbinguni 😹😹😹