Tuongeze thamani ya majina yetu

Tuongeze thamani ya majina yetu

Kuna kuipa thamani jina lako na kujipa thamani katika kutambulika kwako (legacy), hivyo ni vitu viwili tofauti.​
Thamani ya Jina la Bill Gates na Bwana Mark unaweza kuilinganisha na thamani ya Dr. gani ama Prof. gani?

Thamani ya jina la Albert Einsten, Archimedes and the alike mbona ipo juu kuliko Dr. wote na Prof. wote wa pale jalalani?
 
Umenikumbusha majina(tiltes) ambazo IDDI AMINI DADA alijiita wakati wa utawala wake.

This Was The Official Titles Of The Ugandan President Idi Amin Dada.

Hivi ndivyo jamaa alivyojiita...👇

“His Excellency President for Life, Field Marshal Al Hadji Doctor Idi Amin, VC, DSO, MC, CBE, Lord of all the Beasts of the Earth and Fishes of the Sea, and Conqueror of the British Empire in Africa in General and Uganda in Particular”

😂😂😂
 
Mobutu Sese seko yule Raisi wa Congo na yeye alikuwa anaitwa Joseph Mobutu.

Lakini alivyopata madaraka akajiita.

Mobutu Sese Seko Nkuku Ngbendu wa za Banga.

Madaraka ni yanalevya sana.

Unatamani kuitwa vyeo na majina vyote...😂😂
 
Wasanii wa hapa Tanzania wakishika hela kidogo tu wanabadilisha na majina kabisa.

Wengine wanajiita Simba la Masimba Dangote.

Dangote Femi Otedolaa.

Wengine Tembo Bakhressa.

😂😂
 
Umenikumbusha majina(tiltes) ambazo IDDI AMINI DADA alijiita wakati wa utawala wake.

This Was The Official Titles Of The Ugandan President Idi Amin Dada.

Hivi ndivyo jamaa alivyojiita...👇

“His Excellency President for Life, Field Marshal Al Hadji Doctor Idi Amin, VC, DSO, MC, CBE, Lord of all the Beasts of the Earth and Fishes of the Sea, and Conqueror of the British Empire in Africa in General and Uganda in Particular”

😂😂😂
Yule mjukuu wake bondia, kama atapewa nafasi itapendeza sana
 
Mobutu Sese seko yule Raisi wa Congo na yeye alikuwa anaitwa Joseph Mobutu.

Lakini alivyopata madaraka akajiita.

Mobutu Sese Seko Nkuku Ngbendu wa za Banga.

Madaraka ni yanalevya sana.

Unatamani kuitwa vyeo na majina vyote...😂😂
Madaraka ni 'power' ya umungu
 
Mobutu Sese seko yule Raisi wa Congo na yeye alikuwa anaitwa Joseph Mobutu.

Lakini alivyopata madaraka akajiita.

Mobutu Sese Seko Nkuku Ngbendu wa za Banga.

Madaraka ni yanalevya sana.

Unatamani kuitwa vyeo na majina vyote...😂😂
Bila kumsahau, Jiwe, kiongozi wa malaika mbinguni 😹😹😹
 
Unajisikiaje kutumia jina lile lile ulilopewa na wazazi wako toka udogoni mpaka unakufa nalo?

Kama tunaweza kuongeza thamani ya viwanja vyetu, mashamba, majengo n.k, ni muhimu pia kuongeza thamani ya majina yetu.

Kama mpaka umri huu, bado unatumia majina yaleyale uliyopewa na wazazi, na hujayaongezea thamani kwa kuanza na jina Dr au Prof. utaonekana bado ni mtu wa kizamani, wa karne iliyopita.

Kama tunaongezea thamani kwa kitu kilicho chakaa, ni muhimu pia kuongeza thamani ya jina lako lililochakaa.

Ingawa kuna changamoto ya kufikia hiyo thamani ya majina, wengine wanaamua kujiongezea thamani ya majina mfano mwinjilist, mchungaji, CP nini n.k

Lakini, ni muhimu kutambua, thamani ya majina yako duniani, yataongezwa na haya maneno mawili tu, Dr au Prof. Hizo zingine huwa ni mbwembwe tu.

Twendeni darasani​
Mimi najulikana kama Dalali Juma Bakari.

Hata nikiwa kanisani mchungaji wetu hupenda kuniita kwa jina hilo hilo.
 
Back
Top Bottom