ministrant
JF-Expert Member
- Jan 17, 2014
- 1,241
- 2,260
Thamani yako huongezeka pale ambapo maisha yako yamechangia kuleta mabadiliko chanya kwenye jamii na sio kuwa na Permanent Head Damage (PhD) ama kuwa Mwalimu (Prof.).
Hizo title kwasasa hazina thamani yoyote ile, hii ni baada ya jamii kutoona matokeo chanya yanayoletwa na mtu kuwa na hizo title.
Hizo title kwasasa hazina thamani yoyote ile, hii ni baada ya jamii kutoona matokeo chanya yanayoletwa na mtu kuwa na hizo title.