realMamy
JF-Expert Member
- Apr 28, 2024
- 7,335
- 18,387
Ntavumilia ila unipe tuSawa, lakini kwa masimango sana 😂😂.
Ntavumilia ila unipe tuSawa, lakini kwa masimango sana 😂😂.
Hilo lako halina umuhimu sana, ni maamuzi ya mtu binafsi.
Marehemu alizaliwa akazuzura halafu akafa ,hii mbaya sanaCV ya marehemu ikiwa na ukurasa mmoja ni tatizo pia.
Hakikisheni hiyo thamani ya majina yenu iendane na ukubwa wa wallet zenu tu, acha sisi wengine tuendelee kuitwa mzee fulani au baba fulani, inatosha sana!Sio maamuzi ya mtu binafsi, lina mchakato wake ndio maana walio wengi hawalifikii na kukimbilia zile za kuheshimishwa ambazo hazina nguvu.
Unatakiwa uwaheshimishe wazazi wako kwa kuliongezea thamani. Au unataka ufe na jina hilohilo la Matata, waliokupatia wazazi?Hivi una nini lakini Ina maana majina tuliyopewa na wazazi yamechakaa kweli 😅😅😅
Au masumbuko 😅Unatakiwa uwaheshimishe wazazi wako kwa kuliongezea thamani. Au unataka ufe na jina hilohilo la Matata, waliokupatia wazazi?
Kuwa na vitu ni suala lingine na kulipa thamani jina ni kitu kingine pia, na kila kimoja kina umuhimu wake.Ukiwa na hela thamani ya jina itapanda yenyewe
Kwani mo au gsm ni prof au dk
Ukipata gamba utaona faida yakeKUNA faida gani kama nikiitwa pro au dr?
Na uchagani huwa hatuvungi kukufanyia ubaguzi wa wazi wazi ukiwa mbangawapendwa upande wa kushoto watakaa jumuiya ya masaki na oyster bay!
Hizo za kununua hazina nguvu, ata ukiwa nayo unakuwa hujiamini kwa sababau unakuwa huna machapisho ya kitaalamu.Hizo Dr/Prof title hazina tija maana unaweza jipachika au kununua, inabidi utafute title ya Tajiri.
Mfano Tajiri Jerry001 . Hapo utaheshimika, hata kanisani au msikitini utakaa siti ya mbele kabisa.
Shule ngumuwapendwa upande wa kushoto watakaa jumuiya ya masaki na oyster bay!
Hizo Mr & Mrs, ata dakika 5 ni nyingi unaweza kuzipata; ni muhimu liwezekanalo lisikupite.Mmmmh, hii kali.. hizo ni professional identity tu sidhani kama ndio huongeza thamani ya jina la mtu kuliko wengine. Tatizo nchi za Africa tuna ulimbukeni wa elimu na titles. Wenzetu unaweza kukuta mtu ana PhD lakini hatumii kabisa hiyo Dr au prof. Thamani ya jina lako itatokana na matendo unayofanya au unavyoishi na wengine, hata Mr. au Mrs. zinaweza kukuongezea thamani kubwa tu.
Tunaomba ukatukatie mdawi, wa kufunga mbusi, na hakikisha Kuni zimeletwa n sisiibiwe mseeNa uchagani huwa hatuvungi kukufanyia ubaguzi wa wazi wazi ukiwa mbanga
Chap tena kwa haraka konaaTunaomba ukatukatie mdawi, wa kufunga mbusi, na hakikisha Kuni zimeletwa n sisiibiwe msee