Tuondoe utata hapa: Ni wapi haswa chanzo cha Mto Nile?

Tuondoe utata hapa: Ni wapi haswa chanzo cha Mto Nile?

Kwani kwa walioutazama kwa macho huo mto wanaona maji yanatembea kuelekea ziwani/Victoria au yanatoka ziwani kuelekea huko mataifa ya Afrika Magharibi?
 
Mara zote mito haiwi na chanzo kimoja.. Mto wowote huwa unakuwa na inlets, walichofanya ni kuspecify tu ili kuondoa mkanganyiko!!
Kwa utafiti wa kina ni kuwa hata ziwa Viktoria ni njia tu umepita chanzo chake ni nje kabisa ya ziwa ila kwa kuwa mwonekano wa kutoka maji umeonekana hapo ndio husema chanzo ni ziwa Viktoria
 
Mara zote mito haiwi na chanzo kimoja.. Mto wowote huwa unakuwa na inlets, walichofanya ni kuspecify tu ili kuondoa mkanganyiko!!
Nimekwelewa mkuu


Ila hapa niwakumbushe tu kuwa kuna mto uko mbeya unamwaga maji ziwa Viktoria

Wasisahau na hili
 
mto Nile chanzo chake ni bahari ya Meditrenia na maji yake yanamwagika ziwa Victoria

Hapana mkuu
Maji yanatoka kwenye mito kama Kagera na kuingia Lake Victoria na kuyamwaga tena na kuelekea Sudan mpaka Misri
Na kuingiza maji huko maili 6000 Mediterranean
 
559px-River_Nile_map.svg.png
 
Back
Top Bottom