cheusimangala
JF-Expert Member
- Feb 27, 2010
- 2,585
- 497
Wasanii wengi Tanzania walipofariki nilisikitika lakini sikuwahi kulia machozi ila kifo cha Steven kimenitoa machozi.
Inauma sana jamani.
Pumzika kwa amani Kanumba the great.
Last edited by a moderator: