Tuombe Mungu awape hekima viogozi wetu ili ndoto yetu ya kufika kwenye nchi ya asali na maziwa

Seif Kazige Mbambizi

Senior Member
May 7, 2016
135
92
Ndugu zangu watanzania, wakati umefika tunyoshe mikono yetu tumuombe mungu awape hekima zaidi hawa viongozi wetu. Kwasababu kiongozi au viongozi wanapo kosa hekima ni sawa na kuwa na gari ambalo halina mafuta halafu unategemea usafiri nalo kwenda sehemu ambayo hujawahi kufika. Haliwezi kukufikisha popote katika safari yako wala kuwa na msaada wowote, kwa lugha ya malkia unaweza kusema gari hilo ni useless.
 
subiria Ukawa wachukue nchi na ndoto yako itakuwa lakini sio kwa hawa majipu vibaka waizi wa mali za jasho la watanzania wanaoangaika usiku na mchana ipo siku tu hawa vibaka watatoka na kutuachia nchi yetu yenye maziwa na asali.kazi yao kula kula na matumbo.

What-is-Wrong-with-this-CCM-Photo.png



swissme
 
Ndugu zangu watanzania, wakati umefika tunyoshe mikono yetu tumuombe mungu awape hekima zaidi hawa viongozi wetu. Kwasababu kiongozi au viongozi wanapo kosa hekima ni sawa na kuwa na gari ambalo halina mafuta halafu unategemea usafiri nalo kwenda sehemu ambayo hujawahi kufika. Haliwezi kukufikisha popote katika safari yako wala kuwa na msaada wowote, kwa lugha ya malkia unaweza kusema gari hilo ni useless.
True we are praying every day, God be with those politicians
 
True we are praying every day, God be with those politicians
bro let me tell you,those UVCCM they don't know what they are doing.couse they just think about buku 7.but they don't think tomorrow.all young boys we have to be together and kick out ccm.after Cople of moth next you will enjoy Tanzania na maziwa na Asali.

swissme
 
Tuombe kuhusu nini?maana miaka yote tunawaombea ila mafanikio ni kwao na washikaji zao hadi tumechoka kuombe tumebaki kubadili chupa ila mvinyo ni uleule
 
Kumcha Mungu ndio chanzo cha maarifa sasa kama Kiongozi anayekataa kujadili watoto waliofukuzwa ndani ya ma saa 24 watoke chuoni kama wezi kwa kosa la serikali Na waziri aliyeunga mkono ufukuzaji huo unamuombea nini
 
Mkuu sasa ni miaka zaidi ya 50 tunaomba nini?Hata mungu atakuwa kachoka watanzania in wanafiki waongo sana ndio maana miaka nenda rudi umasikini upo pale pale
 
Ndugu zangu watanzania, wakati umefika tunyoshe mikono yetu tumuombe mungu awape hekima zaidi hawa viongozi wetu. Kwasababu kiongozi au viongozi wanapo kosa hekima ni sawa na kuwa na gari ambalo halina mafuta halafu unategemea usafiri nalo kwenda sehemu ambayo hujawahi kufika. Haliwezi kukufikisha popote katika safari yako wala kuwa na msaada wowote, kwa lugha ya malkia unaweza kusema gari hilo ni useless.
Kwa uongoz huu wa kina Tulia, Tusubiri miaka 100000
 
Huyo Mungu inabidi asifanye kaz zingine awe anawasinamia tu haya maccm, na hata hvyo yatampinga
 
Kwa miviongozi hii ya kiafrika utasubiri sana Hao viongozi wenyewe unaotaka tuwaombee kwa mungu hawana habari na mungu, wanajinufaisha. We jitume kutafufa maisha yako mwenyewe asali na maziwa vitapatikana lakini kusubiri viongozi waje wakufanyie hayo ni sawa na kusubiri meli uwanja wa ndege Utasubiri miaka mia nane mkuu na hilo halitatokea
 
Back
Top Bottom