kuna hypothesis nilitengeneza kuwa hawa jamaa hawatumii band ya 2100mhz ambayo ndio common bali wanatumia band nyengine ie 850mhz hivyo kusababisha simu za bei ya chini na modem kushindwa kufanya kazi.
hii kero! mkuu c6 alitumia vp? Then kuna tyme kwenye cmu inaandka tritel badala ya BOL then naanza kupata hisia za mambo ya roaming yale
hapa kuna wa2 wa aina 2.. Wanafik na waloendekeza tamaa mbele a.k.a @.karibu
habar nzur bdo mitandao miwil inapiga kaz kam kawaida.. Alwayz nasema hv.. Programmerz n maguru wa network wanajua namanisha nin si hawa akina njunwa copy n paste hawajui hata wanafanya nin.
Njunwa wa mavoco Pm yangu hujaiona kaka???..
aiseee kaka natumia http lkn speed ndogo sanaaa ,,,,what should i do?????
Dogo wewe unachokioengea haukijui siku nakusoma tu unajisifia hapa mitandao miwili mitandao miwili
Sasa mpaka unaanza kuni-dis....
Siku tumepata hizi ssettings uliwalilia watu PM wakuunganishe na kwakua mm ndo nilikua kama admin wa kile kikundi waliponiuliza unataka kuungwa nikawambia huyo dogo SNITCH mtemeni chini
Sasa ngoja tuone uguru wako wa ki-IT
We mjinga Wamavoko sasa unalingia kidubwana cha waasia kupata access wakati ulimkandia jamaa hapo juu kuwa hakuna kauchochoro tukaamua kula kimya we kujua tu kuwafyonza Airtel tayari umeripuka na screen zako uchwara KRAPKA DAvINOOO
duh. sijui niseme pengine tatizo ni ajira. maana watu wanatafuta pesa za haraka haraka.......... mi nshachoka na mambo hizi
Mbona haueleweki thread hii inahusiana vp na ajira?
wewe unachoelewa tu ni TG na PD PROXY. ... utaelewa tuuu ndelea kukomaaa mtu wangu
Sometimes Keeping you pie-hole closed Pays alot
Hahahaha!Umekurupuka kaka sometimes hapa Jf bora usome hata thread imeanzishwa lini vingine utaonekana #mjinga zaidi....
Inaonesha hiyo kitu imekuuma sana we #------ na #------ - wengine humu JF...
Mara ohhh! najidai sasa nijidai nn we jamaa kwanza mnafiki kama sio #snitch kule awali ulimkandia ukabu kwamba atasababisha ajari na ukamsihi ale kimya kimya sasa leo hii unaniona mm najidai... hahahaha!Kajipange tena brother
Tushawasoma hawa watu wa kupenda misifa tu wakati hamna kitu.