Kuna mtu humu ndani ni mnafiki sana, anajifanya anajua sana maujanja eti naye ni internet guru. Internet guru gani asiyejua kutofautisha kati ya http over ssl na http. Binafsi ananikera sana unafikiri tutaku pm ili utupe maujanja? Nooo coz tunajua huna lolote zaidi ku copy na ku paste shame on u.