Zero IQ
JF-Expert Member
- Dec 21, 2016
- 13,985
- 25,198
Ebu fikiria kwanza hivi kungekuwa na raha gani kama kusingekuwa na Kifo?
Yaani binadamu na wanyama wasingekuwa na mwisho (immortal), tungekuwa tunaishi milele na milele kungekuwa na maana gani.
Ukatwe kichwa, wakupige mpaka uchakae, ugongwe na gari, ulipuliwe na bomu, upigwe risasi lakini hakuna kifo unajiunda na kujirudi upya.
Je, ugaidi ungekuwepo kweli? Wakujitoa muhanga wangekuwepo kweli?
Je, duniani tungekuwa tunaishi vipi?
CC Zero IQ
Yaani binadamu na wanyama wasingekuwa na mwisho (immortal), tungekuwa tunaishi milele na milele kungekuwa na maana gani.
Ukatwe kichwa, wakupige mpaka uchakae, ugongwe na gari, ulipuliwe na bomu, upigwe risasi lakini hakuna kifo unajiunda na kujirudi upya.
Je, ugaidi ungekuwepo kweli? Wakujitoa muhanga wangekuwepo kweli?
Je, duniani tungekuwa tunaishi vipi?
CC Zero IQ
