Mkuu, labda ungesema "muda huu"(time?)........'leo' ni kubwa ati!Leo Jk yuko live TBC1 akitwangwa maswali na wawekezaji kutoka nchi mbalimbali anajibu maswali vizuri lakini kwa kigugumizi chake kwa lugha ya kiingereza siokoti kitu.
OK...Lete sasa za hivi, na maendeleo ya mkutano!Naona mpaka maraisi wa East Africa wote wapo ndani ya nyumba! Halafu kumbe Dr. Shein yuko vizuri kwenye English speech!!
Leo muda huu Jk yuko live TBC1 akitwangwa maswali na wawekezaji kutoka nchi mbalimbali anajibu maswali vizuri lakini kwa kigugumizi chake kwa lugha ya kiingereza siokoti kitu.
Naona mpaka maraisi wa East Africa wote wapo ndani ya nyumba! Halafu kumbe Dr. Shein yuko vizuri kwenye English speech!!
Wewe uliyeanzisha mada, ngeli yako iko vipi?? Hebu leteni mambo yenye tija kwa taifa hili. Kugugumizi kitoke wapi wakati alikuwa foreign minister for ten years? Tafuta hoja nyingine na siyo hii
Acheni kumkebehi kiongozi Wa taifa mbona Wa Burundi alikuwa anaongea na stantence error kibao MZee kibaki kimyaaaa. JK did well he is running the the show
MNyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni, huyo Mkwele kwa kizungu yuko vizuri tuu, labda atie madoido. Foreign Ministry aliimudu vizuri ndio maana anazo contact kibao abroad, zingine za lifisadi!!!!!!!!!!Alikua forein minister for ten years si alikua anajirusha tu waliokua wanafanya kazi wengine kabisa wacha ushamba wewe!