Tune to TBC1 Umuone JK kwenye Mdahalo

Sawa Kaka nimekusoma! ni muda huu wa saa 11:30am!

Asante Ndallo tumekupata ila siku nyingine unapoandika saa kwa Kiswahili usiweke am (sema asubuhi n.k). Mkuu kwa Kiingereza anajitahidi hatuwezi kumshusha kwa hilo, hapo hajambo!!
 
Asante Ndallo tumekupata ila siku nyingine unapoandika saa kwa Kiswahili usiweke am (sema asubuhi n.k). Mkuu kwa Kiingereza anajitahidi hatuwezi kumshusha kwa hilo, hapo hajambo!!

Kiingereza gani anaongea??

The the the? sijui ni tatizo la shule (backgound ya shule?)
 
Kiingereza cha JK ni kizuri " by our standards". Lugha hiyo siyo yetu na wengi wetu hua tunajiuma uma tunapojieleza kwasababu siyo lugha tunayoitumia kila siku.Ndallo, King of kings na wengine wanajitia wajuaji humu JF tu lakini tukipanga mjadala kwa lugha hiyo ya kizungu watapwaya na kutia aibu kubwa.
 
Kiingereza cha JK ni kizuri " by our standards". Lugha hiyo siyo yetu na wengi wetu hua tunajiuma uma tunapojieleza kwasababu siyo lugha tunayoitumia kila siku.Ndallo, King of kings na wengine wanajitia wajuaji humu JF tu lakini tukipanga mjadala kwa lugha hiyo ya kizungu watapwaya na kutia aibu kubwa.

Write in English Please
 
Jamani tuache utwana kiingereza sio lugha yetu na kujua kiingereza sio alama ya kuelimika jamani...
Naona mpaka maraisi wa East Africa wote wapo ndani ya nyumba! Halafu kumbe Dr. Shein yuko vizuri kwenye English speech!!
 
Mpaka sasa hivi hamna mtu aliyetuambia nini kimeongelewa na mkulu ambacho ni kwa maslahi ya taifa. uwekezaji umefisadiwa sana bilion 48 za economy stimulus na mambo mengie kibao. Sasa anazungumzia uwekezaji upi hapa kwetu mana viwanda vingi wameua, ATC imekufa na migodi ndo kama hivyo wahindi wameshika uchumi wetu agrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrr.... Aliyeko kwa TV atuambie anaongea nini acheni kujadili kingereza lugha ya watu bana...
 
Wakwambie kinachoongelewa wakati nao lugha gongana wacha wamseme ****** na kingereza chake maana alipokuwa wizara ya mambo ya nje alikuwa anashinda magomeni kwa macheni.

Mpaka sasa hivi hamna mtu aliyetuambia nini kimeongelewa na mkulu ambacho ni kwa maslahi ya taifa. uwekezaji umefisadiwa sana bilion 48 za economy stimulus na mambo mengie kibao. Sasa anazungumzia uwekezaji upi hapa kwetu mana viwanda vingi wameua, ATC imekufa na migodi ndo kama hivyo wahindi wameshika uchumi wetu agrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrr.... Aliyeko kwa TV atuambie anaongea nini acheni kujadili kingereza lugha ya watu bana...
 
acheni kumkebehi kiongozi wa taifa mbona wa burundi alikuwa anaongea na stantence error kibao mzee kibaki kimyaaaa. Jk did well he is running the show

he knows english since he has been to school but he is not capable.... I think u get my point go and think then you will get the ans sawa wewe songa songa....
 
Kwani babako akitembea uchi si unamstua?? au unamwacha majirani wote waone mkonge? Mkulu asipende kumulikwa na camera bila kubrash kichwa chake, aongeze elimu make he is laging behind academically. cku hizi watu wanajitambulisha kwa masters au Phd, kama huna hujitamblish bana!

mimi binafsi simkubali na sina kiongozi akaongoze mazuzu
 
Yeye ni Mkwele, kiingereza lugha ya tatu. Jamani kiingereza anakifahamu vizuri ila tatizo la baadhi ya watu wanataka mtu akiwemo JK aongee kiingereza kama mmarekani au mwingereza.
kwanim kuna watu Wanaigeria , wajapani, wachina, wahispania, wajerumani, warusi n.k wengi kiingereza chao mbona kibovu tu,

Kwani amelazimishwa kuongea Kiingereza?Ushasikia Wachina wakihutubia kwa Kiarabu?

As great thinkers we are supposed to go beyond anaongea vizuri au vibaya bali tuangalie umuhimu wa mikutano hii ya wawekezaji.Walikuja Sullivan,ikaja economic forum,na ubabaishaji mwingine kibao.So far,wanufaika ni watu wanaopewa tenda za chakula,accommodation,na contracted service providers wengine.

Tunaweza kwenda mbali zaidi na kuhusisha mafanikio/failure ya uwekezaji huko nyumbani.Jana tu tumesikia mzawa mwenzetu amefariki baada ya kuchomwa moto na mwekezaji,yet we discuss namna Kikwete anavyoumudu/kuboronga kwenye speech yake!

Tatizo kubwa la nchi za dunia ya tatu-Tanzania included-halijawahi kuwa namna viongozi wanavyomudu kujibnu maswali au kujieleza.Wala tatizo letu halijawahi kuwa kwenye coming up with mipango mizuuuuri ya kutia matumaini.Instead,tatizo ni ujambazi,ufisadi,ubinafsi,na uhalifu wa mali za umma.Hata dunia nzima ikiamua kuja kuwekeza huko nyumbani bado wanufaika wakubwa watakuwa akina Ole Naiko na mafisadi wengine.
 
Wewe uliyeanzisha mada, ngeli yako iko vipi?? Hebu leteni mambo yenye tija kwa taifa hili. Kugugumizi kitoke wapi wakati alikuwa foreign minister for ten years? Tafuta hoja nyingine na siyo hii


we ndoppunguwani kabisa kwani kuwa foreign minister maana yake unajua kiingereza..huyu si ndo alisema madam chairman kwenye mkutano ulaya sasa ngeli iko wapi hapo....
 
Wewe uliyeanzisha mada, ngeli yako iko vipi?? Hebu leteni mambo yenye tija kwa taifa hili. Kugugumizi kitoke wapi wakati alikuwa foreign minister for ten years? Tafuta hoja nyingine na siyo hii

Kuwa waziri wa mambo ya nchi za nje siyo ticket ya kuongea kiingereza. Afterall, mbona kiingereza chenyewe cha huyo ****** ni plain sana tena cha kuokoteza maneno tu!!
 
Nadhani cha msingi katika mijadala kama hii ni ile "substance" ya anachokielezea au katika majibu anayoyatoa huyu JK. Sasa kwa hilo la substance, JK hana substance na anaharibu zaidi kwa kuongea kiingereza very basic with very limited vocabulary. Ndio maana kuna wazalendo humu ndani wanasema kwamba ajaribu kujipiga msasa academically, ili sio tu aweze kukuza vocabulary yake, bali pia awe na substance kwenye mambo anayoongea. Ukimsikiliza ****** huyu, utakuta maelezo yake kuhusu mambo mengi yapo very general - hana statistics, hana mifano, just general and uninteresting.
 
mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni, huyo mkwele kwa kizungu yuko vizuri tuu, labda atie madoido. Foreign ministry aliimudu vizuri ndio maana anazo contact kibao abroad, zingine za lifisadi!!!!!!!!!!



kabisa!!!!!! Hao wenye kukandya wapandishe kwenye jukwaa kama watakuwa na uthubutu, waweke ngeli yao kwanza
 
Kwani babako akitembea uchi si unamstua?? au unamwacha majirani wote waone mkonge? Mkulu asipende kumulikwa na camera bila kubrash kichwa chake, aongeze elimu make he is laging behind academically. cku hizi watu wanajitambulisha kwa masters au Phd, kama huna hujitamblish bana!
Mbona ana phd ya pale Udom?
 
Back
Top Bottom