Shujaa Mwendazake
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 3,734
- 6,292
Viazi kama nyie ndiyo msingi wa ccm fvck yonKama ww hautokuwepo, basi wahimize viongozi wengine wa chama na familia zao wawepo kweny maandamano ili kuongeza nguvu kwa waandamanaji. Haiwezekani mimi dudumizi niandamane nile virungu vya polisi, nivunjwe mguu, na kufunguliwa kesi afu watu kama watoto wa Mbowe, Sugu, mch Msigwa, Mnyika na familia zao wakae nyumban kwao wanatuangalia tu kwenye TV na kukimbilia kulaumu polisi kupitia twita na JF.
Jipya kwako akili ipo geti la kijaniHuyu nae hana jipya
Wewe mwenye jipya umelifanyia nini nchi hii ?!.Huyu nae hana jipya
Yeye kafanya jipya gani?Wewe mwenye jipya umelifanyia nini nchi hii ?!.
BrainwashedJipya kwako akili ipo geti la kijani
Jambo muhimu kabisa la kuweka kwenye akili wakati wa kujadili mambo ya Lisu tukiwa kama Watanzania huru, ndugu na wamoja kitaifa bila kujali tofauti za kitikadi, ni kwamba, hayati Rais Magufuli hakufa na watendaji wake waliokuwa wanatenda mambo kwa baraka zake.Alikuwa na shida na serikali ya JPM, serikali ya awamu hii ana shida gani? Rudi nyumbani ujenge nchi yako. Usiibomoe ukiwa nje.
Wewe endelea kuishi kwa matumaini ya kuteuliwa tu hizi shughuli za kiume tuachie sisi wenyewe.Kama ww hautokuwepo, basi wahimize viongozi wengine wa chama na familia zao wawepo kweny maandamano ili kuongeza nguvu kwa waandamanaji. Haiwezekani mimi dudumizi niandamane nile virungu vya polisi, nivunjwe mguu, na kufunguliwa kesi afu watu kama watoto wa Mbowe, Sugu, mch Msigwa, Mnyika na familia zao wakae nyumban kwao wanatuangalia tu kwenye TV na kukimbilia kulaumu polisi kupitia twita na JF.
Huna lolote wewe !!. Unambeza mtu ambaye amepigania haki za wananchi masikini (wachimbaji) dhidi ya watawala mafisadi. Unambeza mtu aliyetoa michango mingi bungeni pengine kuliko mbunge yeyote !!. Unambeza mwanasheria aliyesimamia kesi nyingi kutafuta haki za watu !!.Yeye kafanya jipya gani?
HahahaHuna lolote wewe !!. Unambeza mtu ambaye amepigania haki za wananchi masikini (wachimbaji) dhidi ya watawala mafisadi. Unambeza mtu aliyetoa michango mingi bungeni pengine kuliko mbunge yeyote !!. Unambeza mwanasheria aliyesimamia kesi nyingi kutafuta haki za watu !!.
Wewe umefanya kipi hata kidogo kutetea haki za watu dhidi ya dhulma za watawala ??!!
Shuleni ulifuata nini masikini ?!.Upumbavu mtupu! Kama hii iliyopo haifuatwi, hiyo mpya itakuwa na jeshi la polisi lipi la kuhakikisha inafuatwa, achilia mbali nani wa kuiandaa ikawa kama mpendavyo
Hata hiyo brain hunaHahaha
Kapigania haki za masikini gani we brain washed?