misasa
JF-Expert Member
- Feb 5, 2014
- 13,642
- 9,338
Akiwa nayo huyo unayempigania inatosha eti katetea haki ya masikini, nani kakuongopea?Hata hiyo brain huna
Akiwa nayo huyo unayempigania inatosha eti katetea haki ya masikini, nani kakuongopea?Hata hiyo brain huna
Wanatembelea,fuvu mfano wa chungu like cha mboga.Brainwashed
Nenda pale getini kwanza kutakuelekeza cha kufanya,kwani akili ndio kila kituBra bra vipi waambie basi viongozi wenzako ambao wapo Tanzania waingie barabarani.
Yeye anasomeshewa watoto Marekani, hata akifa leo wanaye watasoma hadi vyuo vikuu; kisha baada ya muda watarudi hapa kuajiriwa taasisi za kimataifa zinazolipa mishahara mikubwa au kufanya kazi nje ya nchi, wewe ukiwa rumande tu wanao hawaendi shule.Kama ww hautokuwepo, basi wahimize viongozi wengine wa chama na familia zao wawepo kweny maandamano ili kuongeza nguvu kwa waandamanaji. Haiwezekani mimi dudumizi niandamane nile virungu vya polisi, nivunjwe mguu, na kufunguliwa kesi afu watu kama watoto wa Mbowe, Sugu, mch Msigwa, Mnyika na familia zao wakae nyumban kwao wanatuangalia tu kwenye TV na kukimbilia kulaumu polisi kupitia twita na JF.
Fuata ulicho acha geti la kijaniYeye anasomeshewa watoto Marekani, hata akifa leo wanaye watasoma hadi vyuo vikuu; kisha baada ya muda watarudi hapa kuajiriwa taasisi za kimataifa zinazolipa mishahara mikubwa au kufanya kazi nje ya nchi, wewe ukiwa rumande tu wanao hawaendi shule.
Inaonesha huna shule wewe ni bendera fuata upepo. Kwanza hujui ni nini kinatafutwa na njia ya kukitafuta.Shuleni ulifuata nini masikini ?!.
Mbona tamko hilo unatoa wewe na sio serikali?NJOO LISSU. HAKUNA WA KUKUDHURU. NJOO PLEASE
Kwani wakati wa Kampeni alipokuja tamko lilitolewa na nani? 😁Mbona tamko hilo unatoa wewe na sio serikali?
Aliondoka nchini akiwa katika mikono ya ubalozi wa Ujerumani, kama yuko salama kurudi serikali itoe tamko hilo
Nina hakika nakuzidi shule.Inaonesha huna shule wewe ni bendera fuata upepo. Kwanza hujui ni nini kinatafutwa na njia ya kukitafuta.
Utakuta na ww umefika mpk chuo kikuuUpumbavu mtupu! Kama hii iliyopo haifuatwi, hiyo mpya itakuwa na jeshi la polisi lipi la kuhakikisha inafuatwa, achilia mbali nani wa kuiandaa ikawa kama mpendavyo
Kwahiyo hao niliowataja hapo sio wanaume? Mbona huwa hawaandamani?Wewe endelea kuishi kwa matumaini ya kuteuliwa tu hizi shughuli za kiume tuachie sisi wenyewe.
Ndo maana wengi tumeshtuka. Safari hii wataandamana viongozi wa chama tu na familia zao, sisi wanachama makini hatutii mguu barabarani.Yeye anasomeshewa watoto Marekani, hata akifa leo wanaye watasoma hadi vyuo vikuu; kisha baada ya muda watarudi hapa kuajiriwa taasisi za kimataifa zinazolipa mishahara mikubwa au kufanya kazi nje ya nchi, wewe ukiwa rumande tu wanao hawaendi shule.
Utawafanya nini ?! Huwezi kuwala nyama. Hatari kubwa kama nyoka unamuua binaadamu kwa sumu huku huwezi kumla !!.Bra bra vipi waambie basi viongozi wenzako ambao wapo Tanzania waingie barabarani.
Mimi naongea na mwanaum mwenzang afu ww choko unavamia. Look... jamaa pamoj na kupigania haki za mashoga lkn sio mtumiaji kabisa wa viboga, kwahiyo kujipendekeza kwako hakuwezi kumfanya yeye aje akumege mkvndv wee..
Jamaa kasema kweli, hao kina Msigwa, wewe na Lissu familia zenu zitakuwa kwenye luninga kuangalia jamaa anavyovunjwa kiuno.Viazi kama nyie ndiyo msingi wa ccm fvck yon