Mfuatilie asb utipe taarifa katika power breakfastSiyo kweli, ni maneno tu ya kwenye ghahawa mkuu.
Hivi hako kajitu kanaijuwa sheria, kana piga piga kelele bungeni, nakumbuka siku moja kalikuwa kanajidai kupiga kelele za kisheria, akasimama Mzee wa Vijisenti, akamtoa "knock out" ya maneno yasiyozidi kumi. Kimya, akaufyata hana la kujibu zaidi ya mwenyewe kukiri "nakuheshimu".
Hivi nyie mnafikiri kupiga kelele zisizo na mpango ndio kujuwa ukifanyacho?
Hivi hako kajitu kanaijuwa sheria, kana piga piga kelele bungeni, nakumbuka siku moja kalikuwa kanajidai kupiga kelele za kisheria, akasimama Mzee wa Vijisenti, akamtoa "knock out" ya maneno yasiyozidi kumi. Kimya, akaufyata hana la kujibu zaidi ya mwenyewe kukiri "nakuheshimu".
Hivi nyie mnafikiri kupiga kelele zisizo na mpango ndio kujuwa ukifanyacho?
habari hii ina utata
kesi inasikizwa misri na sii mahakama ya kimataifa lugha yao kiarabu
Tundu anakijua? sio rahisi,i totally disagree
Hivi hako kajitu kanaijuwa sheria, kana piga piga kelele bungeni, nakumbuka siku moja kalikuwa kanajidai kupiga kelele za kisheria, akasimama Mzee wa Vijisenti, akamtoa "knock out" ya maneno yasiyozidi kumi. Kimya, akaufyata hana la kujibu zaidi ya mwenyewe kukiri "nakuheshimu".
Hivi nyie mnafikiri kupiga kelele zisizo na mpango ndio kujuwa ukifanyacho?
Kanaijua sheria aisee, kalisaidia sirikali kushinda ile kesi ya 'City water' international case. Pia Bungeni kanamsumbua sana Werema kwenye vifungu hadi siku hizi anakubaliana nae(Lisu) kila anapotaka kurekebishwa kwa vifungu.