Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 4,393
- 14,499
Mwenyekiti CHADEMA Taifa, Tundu Lissu amesema "Mahakama yako vilevile iko kwenye Mahakama ya Umma, iko kwenye Kizimba cha Umma"
"Watu wa Taifa hili wanajua na Ulimwengu unajua hakuna Kesi hapa bali ni Siasa, ni mwaka wa Uchaguzi, na mwaka wa Uchaguzi Kiongozi Mkuu wa Chama cha Upinzani amekamatwa amepewa Kesi ya Uhaini si kwasababu ni mhaini ni kwasababa ya Siasa, ili Watu waende kwenye Uchaguzi wasisumbuliwe na No Reforms, No Election"
"Nchi yetu imechafuka kwasbababu ya Kesi hii"
Bofya hapa: Kujuya Yanayojiri Kesi ya Uhaini ya Lissu Julai 15, 2025 Mahakama ya Kisutu
"Watu wa Taifa hili wanajua na Ulimwengu unajua hakuna Kesi hapa bali ni Siasa, ni mwaka wa Uchaguzi, na mwaka wa Uchaguzi Kiongozi Mkuu wa Chama cha Upinzani amekamatwa amepewa Kesi ya Uhaini si kwasababu ni mhaini ni kwasababa ya Siasa, ili Watu waende kwenye Uchaguzi wasisumbuliwe na No Reforms, No Election"
"Nchi yetu imechafuka kwasbababu ya Kesi hii"
Bofya hapa: Kujuya Yanayojiri Kesi ya Uhaini ya Lissu Julai 15, 2025 Mahakama ya Kisutu