Tundu Lissu: Tutayajua mengi sana endapo Mh. Nassari atafungua kesi Mahakama Kuu ya Tanzania kupinga kufutiwa Ubunge, kama ambavyo nimemshauri

Leo akili imekurudia
 
Si amesema alitoa taarifa za kumuuguza mke wake?? Au hiyo sio sababu ya msingi kwa mtazamo wako?? Au ni roho mbaya tu uliyonayo??
 
Anaeleweka Vipi? Nassari barua yake hata haionyeshi yuko hospital gani Wala ushahidi wa refferal toka hospital ya muhimbili porojo tu Kama za Lisu Niko ubelgiji kwa matibabu hamna ushahidi wa refferal porojo tu
Anaeumwa na mke wake siyo Ansari hivyo watakapotaka prove ndio ataweza cheti au vyetu vya hospital
 
kama kweli alikuwa na udhuru na hiyo barua hajaiandika baada ya kuona hukumu ya spika , Mungu atakutetea na haki if
 
Kaf.rwe we kima kule alipo ni jobless mama we,sijaona jitu ngumbaru km ww badala kutafuta ugali wa wanao unahangaishana na siasa za kifala,haya we mjasiriamali unatukana waajiriwa biashara yenyewe usikute unafuga nguruwe🤣. Hapo ulipo unanuka mafi matupu
 
Iwe kweli basi kuwa Nasari 'hajaunga mkono juhudi '. Siamini kama Nasari hajui kilichotokea, siamini kuwa 'mpango' wa kumpoka Nasari Ubunge uwe siri kiasi cha kutovuja kabla.

Vv

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Hakuna basha anayehitaji shoga asiye na shanga. Kapelekee mabasha wa kichaga huko wanaokula hilo shimo na condom.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…