Tundu Lissu: Tutayajua mengi sana endapo Mh. Nassari atafungua kesi Mahakama Kuu ya Tanzania kupinga kufutiwa Ubunge, kama ambavyo nimemshauri

Pamoja na mapungufu yake lakini Tundu Antipas Lisu ana uwezo mkubwa wa kiakili.

Bunge kama sehemu ya kutunga sheria linapaswa kuwa makini kwa kila jambo, binafsi namkubali sana mzee Chenge na yule Zungu wale Nassari wangemchukulia poa tu.

Yaani tukarudie uchaguzi kwa gharama kubwa kisa Joshua alikuwa anamuuguza mkewe so hakufika bungeni?!!
Leo akili imekurudia
 
Ujana na dharau nyingi sana. Sioni sababu ya msingi inayo shawishi kwanini alikuwa haendi bungeni. Pia kwanini wabunge wenzie walikuwa hawampi ushauri juu ya jambo hilo ambalo lipo wazi kikatiba na kanuni za bunge. Mambo mengine mta mulaumu sana spika au rais wa JMT kwa kuwaonea tu.
Si amesema alitoa taarifa za kumuuguza mke wake?? Au hiyo sio sababu ya msingi kwa mtazamo wako?? Au ni roho mbaya tu uliyonayo??
 
Anaeleweka Vipi? Nassari barua yake hata haionyeshi yuko hospital gani Wala ushahidi wa refferal toka hospital ya muhimbili porojo tu Kama za Lisu Niko ubelgiji kwa matibabu hamna ushahidi wa refferal porojo tu
Anaeumwa na mke wake siyo Ansari hivyo watakapotaka prove ndio ataweza cheti au vyetu vya hospital
 
kama kweli alikuwa na udhuru na hiyo barua hajaiandika baada ya kuona hukumu ya spika , Mungu atakutetea na haki if
 
Unaweza ukakuta ww uliyeandika huu usenge umeajiriwa na mwanaume mwenzio na hapa umepost huu utoto kwa kutumia computer ya huyo mwanaume aliyekuajiri. Unaoongea kwa nyodo maana umevimba makalio kisa kila mwisho wa mwezi unapokea mshahara. Lissu sio jobless kwa taarifa yako maana hajakimbia nchi kwani yuko Ulaya kwa matibabu baada ya kushambuliwa na hao unaowaopa tundu la mbolea hapo nyuma. Kama umechoka kuchangia kwa nidhamu jiandae kukutana na lugha ambazo hutokaa uamini ww ****.
Kaf.rwe we kima kule alipo ni jobless mama we,sijaona jitu ngumbaru km ww badala kutafuta ugali wa wanao unahangaishana na siasa za kifala,haya we mjasiriamali unatukana waajiriwa biashara yenyewe usikute unafuga nguruwe🤣. Hapo ulipo unanuka mafi matupu
 
Iwe kweli basi kuwa Nasari 'hajaunga mkono juhudi '. Siamini kama Nasari hajui kilichotokea, siamini kuwa 'mpango' wa kumpoka Nasari Ubunge uwe siri kiasi cha kutovuja kabla.

Vv

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kaf.rwe we kima kule alipo ni jobless mama we,sijaona jitu ngumbaru km ww badala kutafuta ugali wa wanao unahangaishana na siasa za kifala,haya we mjasiriamali unatukana waajiriwa biashara yenyewe usikute unafuga nguruwe🤣. Hapo ulipo unanuka mafi matupu

Hakuna basha anayehitaji shoga asiye na shanga. Kapelekee mabasha wa kichaga huko wanaokula hilo shimo na condom.
 
91 Reactions
Reply
Back
Top Bottom