Masiya
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 7,578
- 7,281
Tuache sheria ichukue mkondo wake. Nasari aende mahakamani nasi tujifunze jinsi wanavyo tafsiri sheria. Sheria ni zaidi ya kiingereza au kiswahili ina mengi yaliyojificha.tatizo sheria au katiba haijaweka wazi kama kunautaratibu wa kukusikiliza yenyewe inasema ukifulluliza kutega mara tatu basi umekosa sifa labda wafanyie marekebisho hapo lakini tayari nasari ameshakosa sifa si mbunge hata aende mahakamani