Tundu Lissu: Tutanyolewa bila maji suala la mchanga wa madini, tusikurupuke


Yaani una maana kuwa Tundu Lissu ni mpumbavu na wewe ni mwerevu, siyo ?

It's likely 120% the opposite......kwamba, wewe ndiye hasa mpumbavu, kwa sbb umeshindwa ku - counter attack hoja ya Lissu simply kwa sbb, you know nothing !!

Wana declare uongo ? Ukweli ni upi eti ? Wa kamati ya kumfurahisha Mr Misifa, Mfalme Mtukufu Uchwara ?

Aisee, please, jaribu ingalau kuwa serious kiogo, basi !!
 

Lete mfano wa huo uwongo wa wawekezaji hapa., otherwise utuletee mkataba wa serikali na hawa wawekezaji kwamba Tanzania iliwatuma na kuwapa kazi wachunguze huo mchanga kama una madini halafu wapeleke mrejesho serikalini.

Shida kubwa tz kila kitu ni hahe-hohe mnakumbuka shuka tayari kumekucha. Lissu alichoongea ni sawa kabisa mtapambana tu na sheria za kimataifa hakuna namna.
 
U mfano ni taarifa ya kamati iliyochunguza ule mchanga
 
Du
. Wao hawapimi? Wanapimiwa?.... Na ela wanapokelewa wakishayauza? So mwizi ni mpimaji au mchakatuaji? Nani huyo anaye wapimia? SGS? Cha msingi serikali isubiri ripoti ya pili ya kiuchumi na kisheria before kutoa maamuzi zaidi. Ili tukwepe ujanja ujanja wa sheria kandamizi. I am sure hawa wa ripoti ya pili wako wanasoma mikataba kuona ubovu na ukiukwaji ili tujue nini cha kufanya bila kuingiza taifa hasara kubwa.
 
Mnasingizia wazungu ndio waliotudanganya...visingizio tuu kwani nani aliyewaleta na kuwaonyesha njia za kutupiga na wengine wapo kwenye bodi za wakurugenzi zao....tumewaleta wenyewe kwa mbwe mbwe na kugonga meza na sauti za NDIOooooooooo... sasa hivi tunajifanya wanatuibia! Pathetic!
 
I thought the best way to challenge it is to come up with scientific data. They have been using SGS and so forth...sio maneno maneno hayasaidii
 
Unajua kiukweli tunakiuka mikataba so tutalipa fidia kubwa yale yale ya escrow....,bravo lissu
 
Hatuwezi nyonyolewa kwa kuwa tunaye Wakili Msomi na Mzalendo wa Nchi take.


Naye ni T.Lisu hatuna shaka mh.JPM endelea na kazi
 


Sawa ushauri ni mzuri, ila kwa nini hakuutoa kabla ya matokeo ya hii ripoti? Wakati tume inaundwa, wakili TL alikua na nafasi ya kupendekeza hayo maoni yake ila hakuona umuhimu, alisubiri hadi kamati itoe ripoti ndo nae aseme alichokuwa anawaza. Hii sio sahihi. Mi nafikiri, ushauri wa maana ni ule utakaolenga kutatua kilichopo kwa sasa na sio ule ambao ulitakiwa ufanyike kabla ya kilichopo. Imeshatokea kama ilvyo, TL atoe ushauri kuwa tufanye nini kwa maslahi ya Taifa na asione kuwa ni kwa ajili ya CCM. CCM imeshachoka, inahitaji ushauri kutoka nje ya makada wachumia tumbo. Please, Lisu tuambie nini kifanyike kwa sasa kuondoa kadhia hii.
 
Ushauri mzur sana lkn nadhan pia kwa huu wizi waliokuwa wakiufanya tuna sababu za msingi za kuwashitaki pia ikiwa na kushikilia mali zao wkt tukitafuta suluhu
 
Kwakuwa wametuibia basi tuna haki ya kuvunja hiyo mikataba lasivyo watulipe hicho walichotuibia kwanza, vinginevyo tutajifidia kwa kuchukua Mali zao
Mali zao Kama zipi mkuu?nawa hakikishia ule mgodi wa bulyanhulu ata mkiachiwa leo wa tz hamuwezi kuu endeleza ata kwa mda wa miezi3.labda muandae wachina
 
Tundu lissu anashindwa kuelewa kuwa kudeclare kiasi cha madini tofauti na kilichopo katika makontena ni kuvunja mkataba!?...hivyo automatically Acasia wamekuwa wakivunja hiyo mikataba ambayo tobo lisu anadhani itatushinda.
Elewa kuwa acacia wamesaini mkataba wa kuchimba dhahabu. Kikawaida hata ukiokota jiwe mtaani ni composition ya minerals nyingi mno. Hivyo uwekezaji hutegemea what is your mineral of interest. Sidjani kama hayo madini yote yalioorodheshwa ni muhimu katika biashara ya dhahabu. Otherwise walipaswa kuzuia usafirishaji from day one
 
Alie pinga ninani kuhusu hili jambo?hebu zbitisha yaelekea hujui tofauti ya ushali na kupinga.
 
Alie pinga ninani kuhusu hili jambo?hebu zbitisha yaelekea hujui tofauti ya ushali na kupinga.

Tatizo la Vijana hawa wa ccm kitengo cha Jamii forums/facebook/whatsup & Instagram, ni Kufuata upepo yaaani kusifia tu hata sehemu ya kutoa ushauri wanasifia tu.

Mimi sipotezagi muda wangu kuwajibu
 
kabla ya mikatba ya madin kusainiwa na kupitishwa bungen wapinzani walionesha waz kutordhika na kupaza saut wakapuuzwa sasa huu ushaur wa Lisu angeutoa mwanzon unfikir angeeleweka?? hata sahv hmtamuelewa baada ya matokeo ya alichokisema mtaanza kutafta pa kujishikilia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…