Tundu Lissu: Tutanyolewa bila maji suala la mchanga wa madini, tusikurupuke

Alikuwa ni moja ya wakili wa Serikali? au ajenge hoja gani? Tendea haki basi huo ubongo wako
Wapi niliposema kuwa alikuwa mmoja wa mawakili wa serikali? Nilimaanisha walioshindwa kesi ya samaki ni wasomi wenzake wa sheria na sio aliyeshika mwizi.Kwa mfano mwizi kaja nyumbani kwako kwa nia ya kuiba ukamshika na majirani wakashuhudia. Hukuchukua sheria mkononi kama tunavyoaswa ukamfikisha mwizi wako kwenye vyombo vya sheria na vielezo tosha. Mwisho wa siku mwizi anaonekana hana hatia. Ninachojiuliza, aliyeshidwa kesi ni wewe uliemshika mwizi au muendesha mashtaka? (Ambae ni msomi kama akina Tundu?)
 
Kazi yetu ni moja tu, tutamwambia kuwa tulikuambia na kukuonya lakini ukajifanya mjuaji, baasi !!
Kusubiri kumwambia haitasaidia na kama Lissu alijua kuwa kuchua hatua yoyote juu ya hii issue ya madini kungeleta madhara, wangenyamaza kimya, wasingekaa kulalamika bungeni juu ya swala hili maana kulalamika hakuna maana ikiwa hakuna namna ya kutatua tatizo.

Katika swala la mikataba ya madini ccm wanakila sbb ya kulaumiwa lkn kwa kuwa sasa wametambua kosa na kutafuta namna ya kulitatua mm sioni shida ila shida ingekuwa pale wanapoambiwa kuwa wanatongotongo machono na wao wajibu hapana wako safi.
 
Atawasaidiaje wakati keshaonyesha kushindwa kesi. Rais wa TLS tayari haoni jinsi ya kuitetea nchi kisheria.Kwani hiyo mikataba imewapa haki ya kuiba. Kama una shamba la nyanya na umekubaliana na mfanyabiashara kila siku akavune ndoo 100. Siku ya siku ukamshtukiza ile anatoka shamba umekagu gari lake na kukuta ndoo 500! Hivi ukilizuia hilo gari utakuwa umefanya kosa.

Your exemple is absolutely irrelevant !!

Kwenye mkataba hakuna clause inayosema ama kunikataza nikiona digidigi anapita kwenye shamba lako nisimpige risasi nikale nyama !!

That's is the situation, lakini nyie mnadandia tu treni kwa mbele bila hata kujiuliza na kujua madhara yake...
 
Kusubiri kumwambia haitasaidia na kama Lissu alijua kuwa kuchua hatua yoyote juu ya hii issue ya madini kungeleta madhara, wangenyamaza kimya, wasingekaa kulalamika bungeni juu ya swala hili maana kulalamika hakuna maana ikiwa hakuna namna ya kutatua tatizo.

Katika swala la mikataba ya madini ccm wanakila sbb ya kulaumiwa lkn kwa kuwa sasa wametambua kosa na kutafuta namna ya kulitatua mm sioni shida ila shida ingekuwa pale wanapoambiwa kuwa wanatongotongo machono na wao wajibu hapana wako safi.

Well, acha wahangaike wajaribu kutatua lakini hii nimeipenda sana,

"watanyolewa na Kiukweli tutanyolewa bila maji !! " kwa ujinga wetu tuliosababishiwa na hawahawa CCM ambao leo wanajifanya wanalilia kwelikweli marehemu kwenye msiba huu wakati waliyemuua marehemu ni wao wenyewe !!

I see, we are truly going no where..... wanajaribu tu kama tulivyojaribu IPTL, Richmond > Dowan > Symbion, Songas et al bila mafanikio..... !!
 
I am sorry, but we have a problem with some of our diaspora!! I guess most of them are double agents.
However, thanks God, we have a few of these diaspora who are really patriotic to our country, and they are doing tremendous best job. God bless them all.
 
Hakuna kitu kibaya kama pesa,mtu unaweza kumkana hata mama yako mzazi.
Tundu Lissu huyu aliekuwa analala juu ya mti kukwepa mkono wa dola kwa tuhuma za kuhakikisha rasilimali haziibiwi au mwingine?
 
Kiki ya awamu hii Kali!! Kila MTU anatukana, anashambulia, analaumu ila mwisho Wa siku sijui???

Hivi mwisho Wa siku watataifisha? watawarudishia? au zitabakia ni kiki tu za kwenye vyombo vya habari?

TMAA walisema madini ya dhahabu yaliyopo ni kama kilo 4 kwa kontena, sasa kwa makontena 277 ni kama tani moja hivi, hivi serikali ikienda kuuza ikakuta hawa ACACIA ndo wako sahihi, hawa wenye mihemko watawapeleka wapi? Watawapa nini? Ninaiona aibu kubwa mbele!!!
 
Hakuna kitu kibaya kama pesa,mtu unaweza kumkana hata mama yako mzazi.
Tundu Lissu huyu aliekuwa analala juu ya mti kukwepa mkono wa dola kwa tuhuma za kuhakikisha rasilimali haziibiwi au mwingine?
Kumbe dola ndo mwizi Wa rasilimali? Hii kiki haitafikisha miezi sita, watu watakuwa wamejificha uvunguni!!
 
Tundu lissu anashindwa kuelewa kuwa kudeclare kiasi cha madini tofauti na kilichopo katika makontena ni kuvunja mkataba!?...hivyo automatically Acasia wamekuwa wakivunja hiyo mikataba ambayo tobo lisu anadhani itatushinda.
Yani walalamikaji,wakamataji nyie,wachunguzi nyie,wasoma ripoti nyie na watoa hukumu nyie,halafu unaamini mahakama za kimataifa zitakubaliana nanyi?
Kingekuwa chombo huru sawa
 
  • Thanks
Reactions: Ebe
Nimesoma tamko na ushauri wa kaka yangu Tundu Lissu. Ni mzuri lakini amesahau kuwa sheria za kimataifa ambazo Lissu ana hofu nazo kuwa tutanyolewa bila maji ZINAPINGA UONGO WA WAWEKEZAJI. HII NDIO HOJA KUU YA RAIS MAGUFULI. MIKATABA YA KIMATAIFA INASISITIZA INTEGRITY. WAWEKEZAJI WA MADINI NCHINI ESP HAWA WA MCHANGA WA MADINI WAMEANGUKIA KWENYE UONGO. WAMELIDANGANYA TAIFA HURU LA TANZANIA. GO ON TANZANIA. LINDA RASILIMALI ZAKO
 
Hii si ngonjera iwe na majibizano. Tufuate taratibu za kujitoa na kusitisha mikataba sio kujifanyia tu mambo kiholela.
 
Lissu: Ni mambo mawili ya kuchagua. Kwanza, je, tunataka huyo anayeitwa mwekezaji achume mali na inunuliwe kwa damu za Watanzania? Inunuliwe kwa Watanzania kukosa haki na kwa uchumi wa Watanzania kusambaratishwa? Au tuamue kwamba maisha ya Watanzania ni bora zaidi kuliko dhahabu.
 
Nimesoma tamko na ushauri wa kaka yangu Tundu Lissu. Ni mzuri lakini amesahau kuwa sheria za kimataifa ambazo Lissu ana hofu nazo kuwa tutanyolewa bila maji ZINAPINGA UONGO WA WAWEKEZAJI. HII NDIO HOJA KUU YA RAIS MAGUFULI. MIKATABA YA KIMATAIFA INASISITIZA INTEGRITY. WAWEKEZAJI WA MADINI NCHINI ESP HAWA WA MCHANGA WA MADINI WAMEANGUKIA KWENYE UONGO. WAMELIDANGANYA TAIFA HURU LA TANZANIA. GO ON TANZANIA. LINDA RASILIMALI ZAKO
nashangaa umejuaje wawekezaji wamelidanganya taifa? kwa yale makaratasi ya tume iliyo mithiri ya nyumba iliyojengwa kwenye msingi na nguzo mfinyanzi?
 
Back
Top Bottom