Tundu Lissu: Turufu pekee iliyobaki kwa Rais Samia

Tundu Lissu: Turufu pekee iliyobaki kwa Rais Samia

VUTA-NKUVUTE

JF-Expert Member
Joined
Nov 25, 2010
Posts
6,140
Reaction score
18,004
Najua hamtaniamini. Najua mpo mtakaobisha vya kutosha na kutisha. Mtapaniki kuliko pikipiki ya kutumia kiki. Lakini, nawaambia jambo hili. Ni jambo geni na kubwa lakini muhimu na linalowezekana kwenye siasa za sasa. Siasa za sasa zinahitaji amshaamsha.

Haifichiki tena kuwa mambo ndani ya CCM yetu si shwari. Hali si hali. Wanaohoji hadharani kuhusu uhalali wa uteuzi wa rais Samia kuwa mgombea wa Urais wa CCM wamefika wawili: Mch. Malisa wa Kilimanjaro na Polepole wa palepale.

Sirini, maelfu ya wana-CCM wanawaunga mkono hao. Ni uoga-wa-kawaida tu wa kitanzania unaowazuia kusema hadharani. Wanaogopa 'kushughulikiwa' kichama na kadhalika. Wanaogopa kujikuta wakiishi mafichoni kuliko porini na kusikojulikana kama maficho ya Havana.

Nami ni muoga wa hadharani kutokana na 'viapo' vyangu. Lakini, nami niko kwenye msimamo kuwa mchakato wa kumteua Mwenyekiti huku yeye akiongoza uteuzi huo haukuwa halali na ulikiuka Katiba ya CCM na ya Tanzania. Uteuzi wa wagombea vyamani huanza baada ya kuvunjwa kwa Bunge. Ni msimamo wa kikatiba yenye tiba.

Rais na Mwenyekiti wangu ametingwa. Hata mkutano mkuu kuhamishiwa kwa mtandao usio na mtandio hakutasaidia kitu. Mkutano utakosa hamshahamsha na ufanisi. Wajumbe wataambiwa tu bila ya wao kusema. Wataagizwa bila kuumizwa lakini watalizwa. Misimamo itabaki ile ile.

Rais na Mwenyekiti wangu amebaki na Tundu Lissu kama turufu mujarabu yenye jawabu kwa yanayoendelea. Lissu anaungwa mkono ndani na nje ya CCM. Anaungwa mkono na ndani na nje ya nchi. Wengine wanatema nyongo zao kwakuwa tu Lissu yuko mahabusu na 'kuonekana' anateseka kule.

Lissu akiachiwa huru hata tarehe 29 Julai, macho na masikio yataelekezwa kwake na hivyo kupumua na kuamua kutapata utulivu. Lissu anapokelewa; ataongea; ataendelea na chama chake na siasa zitarudi kwenye barabara yake. Lissu atarejesha siasa siasani na maneno majukwaani.

Imebaki hii ya Lissu tu kurudi uraiani na siasani ili kufanyike siasa!

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Gauteng, Afrika ya Kusini)
 
Najua hamtaniamini. Najua mpo mtakaobisha vya kutosha na kutisha. Mtapaniki kuliko pikipiki ya kutumia kiki. Lakini, nawaambia jambo hili. Ni jambo geni na kubwa laniki muhimu na linalowezekana kwenye siasa za sasa. Siasa za sasa zinahitaji amshaamsha.

Haifichiki tena kuwa mambo ndani ya CCM yetu si shwari. Hali si hali. Wanaohoji hadharani kuhusu uhalali wa uteuzi wa rais Samia kuwa mgombea wa Urais wa CCM wamefika wawili: Mch. Malisa wa Kilimanjaro na Polepole wa palepale.

Sirini, maelfu ya wana-CCM wanawaunga mkono hao. Ni uoga-wa-kawaida tu wa kitanzania unaowazuia kusema hadharani. Wanaogopa 'kushughulikiwa' kichama na kadhalika. Wanaogopa kujikuta wakiishi mafichoni kuliko porini na kusikojulikana kama maficho ya Havana.

Nami ni muoga wa hadharani kutokana na 'viapo' vyangu. Lakini, nami niko kwenye msimamo kuwa mchakato wa kumteua Mwenyekiti huku yeye akiongoza uteuzi huo haukuwa halali na ulikiuka Katiba ya CCM na ya Tanzania. Uteuzi wa wagombea vyamani huanza baada ya kufunjwa kwa Bunge. Ni msimamo wa kikatiba yenye tiba.

Rais na Mwenyekiti wangu ametingwa. Hata mkutano mkuu kuhamishiwa kwa mtandao usio na mtandio hakutasaidia kitu. Mkutano utakosa hamshahamsha na ufanisi. Wajumbe wataambiwa tu bila ya wao kusema. Wataagizwa bila kuumizwa lakini watalizwa. Misimamo itabaki ile ile.

Rais na Mwenyekiti wangu amebaki na Tundu Lissu kama turufu mujarabu yenye jawabu kwa yanayoendelea. Lissu anaungwa mkono ndani na nje ya CCM. Anaungwa mkono na ndani na nje ya nchi. Wengine wanatema nyongo zao kwakuwa tu Lissu yuko mahabusu na 'kuonekana' anateseka kule.

Lissu akiachiwa huru hata tarehe 29 Julai, macho na masikio yataelekezwa kwake na hivyo kupumua na kuamua kutapata utulivu. Lissu anapokelewa; ataongea; ataendelea na chama chake na siasa zitarudi kwenye barabara yake. Lissu atarejesha siasa siasani na maneno majukwaani.

Imebaki hii ya Lissu tu kurudi uraiani na siasani ili kufanyike siasa!

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Gauteng, Afrika ya Kusini)
Kuna Majiwe Waashi huwa wanayakataa lakini Mwishoni wanagundua yanahitajika kwenye uimara wa Msingi.
 
Rais na Mwenyekiti wangu amebaki na Tundu Lissu kama turufu mujarabu yenye jawabu kwa yanayoendelea. Lissu anaungwa mkono ndani na nje ya CCM. Anaungwa mkono na ndani na nje ya nchi. Wengine wanatema nyongo zao kwakuwa tu Lissu yuko mahabusu na 'kuonekana' anateseka kule.
 
Najua hamtaniamini. Najua mpo mtakaobisha vya kutosha na kutisha. Mtapaniki kuliko pikipiki ya kutumia kiki. Lakini, nawaambia jambo hili. Ni jambo geni na kubwa laniki muhimu na linalowezekana kwenye siasa za sasa. Siasa za sasa zinahitaji amshaamsha.

Haifichiki tena kuwa mambo ndani ya CCM yetu si shwari. Hali si hali. Wanaohoji hadharani kuhusu uhalali wa uteuzi wa rais Samia kuwa mgombea wa Urais wa CCM wamefika wawili: Mch. Malisa wa Kilimanjaro na Polepole wa palepale.

Sirini, maelfu ya wana-CCM wanawaunga mkono hao. Ni uoga-wa-kawaida tu wa kitanzania unaowazuia kusema hadharani. Wanaogopa 'kushughulikiwa' kichama na kadhalika. Wanaogopa kujikuta wakiishi mafichoni kuliko porini na kusikojulikana kama maficho ya Havana.

Nami ni muoga wa hadharani kutokana na 'viapo' vyangu. Lakini, nami niko kwenye msimamo kuwa mchakato wa kumteua Mwenyekiti huku yeye akiongoza uteuzi huo haukuwa halali na ulikiuka Katiba ya CCM na ya Tanzania. Uteuzi wa wagombea vyamani huanza baada ya kufunjwa kwa Bunge. Ni msimamo wa kikatiba yenye tiba.

Rais na Mwenyekiti wangu ametingwa. Hata mkutano mkuu kuhamishiwa kwa mtandao usio na mtandio hakutasaidia kitu. Mkutano utakosa hamshahamsha na ufanisi. Wajumbe wataambiwa tu bila ya wao kusema. Wataagizwa bila kuumizwa lakini watalizwa. Misimamo itabaki ile ile.

Rais na Mwenyekiti wangu amebaki na Tundu Lissu kama turufu mujarabu yenye jawabu kwa yanayoendelea. Lissu anaungwa mkono ndani na nje ya CCM. Anaungwa mkono na ndani na nje ya nchi. Wengine wanatema nyongo zao kwakuwa tu Lissu yuko mahabusu na 'kuonekana' anateseka kule.

Lissu akiachiwa huru hata tarehe 29 Julai, macho na masikio yataelekezwa kwake na hivyo kupumua na kuamua kutapata utulivu. Lissu anapokelewa; ataongea; ataendelea na chama chake na siasa zitarudi kwenye barabara yake. Lissu atarejesha siasa siasani na maneno majukwaani.

Imebaki hii ya Lissu tu kurudi uraiani na siasani ili kufanyike siasa!

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Gauteng, Afrika ya Kusini)
Mzee nimekuelewa ila wahuni/ chawa hawata kuelewa
 
Samia mwachie Lissu upumue, pressure za Uhaini wa Lissu, makanisa, Wahisani, CCM wenzako zitakumaliza. Ni ushauri tu.
 
Najua hamtaniamini. Najua mpo mtakaobisha vya kutosha na kutisha. Mtapaniki kuliko pikipiki ya kutumia kiki. Lakini, nawaambia jambo hili. Ni jambo geni na kubwa lakini muhimu na linalowezekana kwenye siasa za sasa. Siasa za sasa zinahitaji amshaamsha.

Haifichiki tena kuwa mambo ndani ya CCM yetu si shwari. Hali si hali. Wanaohoji hadharani kuhusu uhalali wa uteuzi wa rais Samia kuwa mgombea wa Urais wa CCM wamefika wawili: Mch. Malisa wa Kilimanjaro na Polepole wa palepale.

Sirini, maelfu ya wana-CCM wanawaunga mkono hao. Ni uoga-wa-kawaida tu wa kitanzania unaowazuia kusema hadharani. Wanaogopa 'kushughulikiwa' kichama na kadhalika. Wanaogopa kujikuta wakiishi mafichoni kuliko porini na kusikojulikana kama maficho ya Havana.

Nami ni muoga wa hadharani kutokana na 'viapo' vyangu. Lakini, nami niko kwenye msimamo kuwa mchakato wa kumteua Mwenyekiti huku yeye akiongoza uteuzi huo haukuwa halali na ulikiuka Katiba ya CCM na ya Tanzania. Uteuzi wa wagombea vyamani huanza baada ya kuvunjwa kwa Bunge. Ni msimamo wa kikatiba yenye tiba.

Rais na Mwenyekiti wangu ametingwa. Hata mkutano mkuu kuhamishiwa kwa mtandao usio na mtandio hakutasaidia kitu. Mkutano utakosa hamshahamsha na ufanisi. Wajumbe wataambiwa tu bila ya wao kusema. Wataagizwa bila kuumizwa lakini watalizwa. Misimamo itabaki ile ile.

Rais na Mwenyekiti wangu amebaki na Tundu Lissu kama turufu mujarabu yenye jawabu kwa yanayoendelea. Lissu anaungwa mkono ndani na nje ya CCM. Anaungwa mkono na ndani na nje ya nchi. Wengine wanatema nyongo zao kwakuwa tu Lissu yuko mahabusu na 'kuonekana' anateseka kule.

Lissu akiachiwa huru hata tarehe 29 Julai, macho na masikio yataelekezwa kwake na hivyo kupumua na kuamua kutapata utulivu. Lissu anapokelewa; ataongea; ataendelea na chama chake na siasa zitarudi kwenye barabara yake. Lissu atarejesha siasa siasani na maneno majukwaani.

Imebaki hii ya Lissu tu kurudi uraiani na siasani ili kufanyike siasa!

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Gauteng, Afrika ya Kusini)
Unanikumbusha utabiri wa Mwalimu Nyerere kuwa tukimaliza kubaguana Bara dhidi ya visiwani,tutaanza kubaguana makabila na makabila na baadaye tukimaliza huko,tutabaguana ndani ya kabila moja; wataanza Mchaga wa Rombo dhidi ya wa Machame nk.

Kwa hiyo,CCM tumemalizana na Chadema,tumeanza wenyewe kwa wenyewe.
 
Najua hamtaniamini. Najua mpo mtakaobisha vya kutosha na kutisha. Mtapaniki kuliko pikipiki ya kutumia kiki. Lakini, nawaambia jambo hili. Ni jambo geni na kubwa lakini muhimu na linalowezekana kwenye siasa za sasa. Siasa za sasa zinahitaji amshaamsha.

Haifichiki tena kuwa mambo ndani ya CCM yetu si shwari. Hali si hali. Wanaohoji hadharani kuhusu uhalali wa uteuzi wa rais Samia kuwa mgombea wa Urais wa CCM wamefika wawili: Mch. Malisa wa Kilimanjaro na Polepole wa palepale.

Sirini, maelfu ya wana-CCM wanawaunga mkono hao. Ni uoga-wa-kawaida tu wa kitanzania unaowazuia kusema hadharani. Wanaogopa 'kushughulikiwa' kichama na kadhalika. Wanaogopa kujikuta wakiishi mafichoni kuliko porini na kusikojulikana kama maficho ya Havana.

Nami ni muoga wa hadharani kutokana na 'viapo' vyangu. Lakini, nami niko kwenye msimamo kuwa mchakato wa kumteua Mwenyekiti huku yeye akiongoza uteuzi huo haukuwa halali na ulikiuka Katiba ya CCM na ya Tanzania. Uteuzi wa wagombea vyamani huanza baada ya kuvunjwa kwa Bunge. Ni msimamo wa kikatiba yenye tiba.

Rais na Mwenyekiti wangu ametingwa. Hata mkutano mkuu kuhamishiwa kwa mtandao usio na mtandio hakutasaidia kitu. Mkutano utakosa hamshahamsha na ufanisi. Wajumbe wataambiwa tu bila ya wao kusema. Wataagizwa bila kuumizwa lakini watalizwa. Misimamo itabaki ile ile.

Rais na Mwenyekiti wangu amebaki na Tundu Lissu kama turufu mujarabu yenye jawabu kwa yanayoendelea. Lissu anaungwa mkono ndani na nje ya CCM. Anaungwa mkono na ndani na nje ya nchi. Wengine wanatema nyongo zao kwakuwa tu Lissu yuko mahabusu na 'kuonekana' anateseka kule.

Lissu akiachiwa huru hata tarehe 29 Julai, macho na masikio yataelekezwa kwake na hivyo kupumua na kuamua kutapata utulivu. Lissu anapokelewa; ataongea; ataendelea na chama chake na siasa zitarudi kwenye barabara yake. Lissu atarejesha siasa siasani na maneno majukwaani.

Imebaki hii ya Lissu tu kurudi uraiani na siasani ili kufanyike siasa!

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Gauteng, Afrika ya Kusini)
Wakati mwingine busara ni kukaa kimya.
 
Huu ndio Ukweli sarakasi zote TAL ataibuka kama mshindi na No reform No Election imeshashinda hadi muda huu
 
Najua hamtaniamini. Najua mpo mtakaobisha vya kutosha na kutisha. Mtapaniki kuliko pikipiki ya kutumia kiki. Lakini, nawaambia jambo hili. Ni jambo geni na kubwa lakini muhimu na linalowezekana kwenye siasa za sasa. Siasa za sasa zinahitaji amshaamsha.

Haifichiki tena kuwa mambo ndani ya CCM yetu si shwari. Hali si hali. Wanaohoji hadharani kuhusu uhalali wa uteuzi wa rais Samia kuwa mgombea wa Urais wa CCM wamefika wawili: Mch. Malisa wa Kilimanjaro na Polepole wa palepale.

Sirini, maelfu ya wana-CCM wanawaunga mkono hao. Ni uoga-wa-kawaida tu wa kitanzania unaowazuia kusema hadharani. Wanaogopa 'kushughulikiwa' kichama na kadhalika. Wanaogopa kujikuta wakiishi mafichoni kuliko porini na kusikojulikana kama maficho ya Havana.

Nami ni muoga wa hadharani kutokana na 'viapo' vyangu. Lakini, nami niko kwenye msimamo kuwa mchakato wa kumteua Mwenyekiti huku yeye akiongoza uteuzi huo haukuwa halali na ulikiuka Katiba ya CCM na ya Tanzania. Uteuzi wa wagombea vyamani huanza baada ya kuvunjwa kwa Bunge. Ni msimamo wa kikatiba yenye tiba.

Rais na Mwenyekiti wangu ametingwa. Hata mkutano mkuu kuhamishiwa kwa mtandao usio na mtandio hakutasaidia kitu. Mkutano utakosa hamshahamsha na ufanisi. Wajumbe wataambiwa tu bila ya wao kusema. Wataagizwa bila kuumizwa lakini watalizwa. Misimamo itabaki ile ile.

Rais na Mwenyekiti wangu amebaki na Tundu Lissu kama turufu mujarabu yenye jawabu kwa yanayoendelea. Lissu anaungwa mkono ndani na nje ya CCM. Anaungwa mkono na ndani na nje ya nchi. Wengine wanatema nyongo zao kwakuwa tu Lissu yuko mahabusu na 'kuonekana' anateseka kule.

Lissu akiachiwa huru hata tarehe 29 Julai, macho na masikio yataelekezwa kwake na hivyo kupumua na kuamua kutapata utulivu. Lissu anapokelewa; ataongea; ataendelea na chama chake na siasa zitarudi kwenye barabara yake. Lissu atarejesha siasa siasani na maneno majukwaani.

Imebaki hii ya Lissu tu kurudi uraiani na siasani ili kufanyike siasa!

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Gauteng, Afrika ya Kusini)
Wacha kujipa umaarufu usiokuwa nao. Ma threads yako yote unajifanya wewe ni "insider" wa Lumumba wakati ni kapuku tu.

Hii sintofahamu ya CCM kwa kipindi hiki ni ya kawaida tu tukikaribia uchaguzi. Makundi masilahi lazima yawepo, lazima yavutane lakini mwisho wa siku inabakia CCM moja.

Litakwisha, Oktoba tunatiki na Samia tunaye hadi 2030. Wenye akili wanajipanga 2030. Hii ya 2025 imekwisha
 
Wacha kujipa umaarufu usiokuwa nao. Ma threads yako yote unajifanya wewe ni "insider" wa Lumumba wakati ni kapuku tu.

Hii sintofahamu ya CCM kwa kipindi hiki ni ya kawaida tu tukikaribia uchaguzi. Makundi masilahi lazima yawepo, lazima yavutane lakini mwisho wa siku inabakia CCM moja.

Litakwisha, Oktoba tunatiki na Samia tunaye hadi 2030. Wenye akili wanajipanga 2030. Hii ya 2025 imekwisha
Tangu lini mambo magumu kama haya vijana wa ccm mkaelewa?


Mambo haya anayajua na yanamuumiza mno M/kiti wako, ila wewe endelea kufanya zamu ya kuondolewa ubongo kichwani ili uendelee na ukapuku wako
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom