Tundu Lissu: Sielewi kwanini Ngeleja hajakamatwa na Polisi

Naomba kuuliza jamani. Hizo pesa Ngeleja amemkabidhi nani huko serikalini?

Sent from my SAMSUNG-SM-G935A using JamiiForums mobile app
 
Hahahaha, mkuu itanchukua muda gani kujua kingereza hiki nikiamua kujifunza...???
Mbona cha kawaida sana?

Inategemea unajua kipi mpaka sasa, kichwa chako cheoesi vipi kushika lugha, utatumia masaa mangapi kwa siku kujifunza, utatumia njia gani, unaweza kupata nyenzo gani, unaweza kufanya mazoezi na nani etc. Unaweza kuchukua mwaka mmoja ukaweza au miaka arobaini usiweze.
 
Two ways to cut this.

Ngeleja could easily spin that he did not return the money out of any concern for criminal involvement, but out of pure ethics, seeing that the matter is now under the court of law, it was important for him to clear himself far and above any legal requirements.

He kinda hinted at that.

On the other hand, questioning him at least to find out what was the money for would have been in order on the part of TAKUKURU/ Police.

One doesn't just hand 40 million bobs out of ones kindness of heart, especially if one is a businessman of Mr. Rugemalira's reputation.

Dude used to come home, talking to mshua, way back in the days.
Then I wasn't seeing him around. So I asked mshua, what's up, your man ain't poppin here no more.

He was like, the fella was only looking out for his business interests and he thought he could charm his way and bribe me, when I said no, he had no further reason to continue our "friendship".

SoI have personal revelations about his style since the early nineties in the reign of Mwinyi..

Ngoja nimpe LIKE huyu japo hii lugha siielewi hadi ninywe kwanza mpk nilewe
 
ngoja nikukumbushe kidogo kuhusu hizi pesa.
Zilikuwa ni kwa ajili ya kulipa umeme ulionunuliwa toka IPTL.
Ziliwekwa mfuko wa escrow bank kuu baada ya wanahisa wawili IPTL na Vip kuwa na mgogoro baada ya Ruge kuhisi anataka kudhulumika gawio lake kwani yeye kama mwanahisa aliechangia ardhi nae alikuwa na haki ya kulipwa,VIP alifungua kesi mahakamani sasa ikaamuliwa zile pesa anazolipa Tanesco zitunzwe na mtu wa tatu kwa maana ya bank kuu hadi hawa jamaa watakapoelewana ndo wachukue hela yao.
Hatimae wakaelewana VIP akafuta kesi na hivyo wakadai pesa yao na kulipwa bilioni 360 kama sikosei,
Ruge akagawiwa kama bilioni 90 za ushee kama gawio lake.

Sijui nini kilimtokea Ruge,labda alichachawa na mahela kwani mhindi alikuwa kampayoff na kubaki na hisa zote,VIP akawa kajitoa.
Ruge akawakumbuka ndugu na jamaa,kumbuka alikuwa hajawahi kukamata kitita kirefu cha pesa kama hicho,akaanza kuzigawa kiasi kwa ndugu,jamaa,marafiki,viongozi wa dini na baadhi ya viongozi kama kina ngeleje,tibaijuka,chenge ,etc.

Likaja kusanuka na ikaonekana kama vile katoa rushwa ama mgawo,

sasa utajiuliza Ruge alikuwa akiwapa maaskofu rushwa ya nini ama gawio la pesa ya kuiba kwa sababu ipi hasa,
kama alikuwa anatakatisha pesa za wizi,
ni hapo sasa inabidi tuprove mahakamani je hizo pesa ni chafu kweli ama ni siasa,

haya mambo hayataki mihemuko,mahakama ndo itaamua kama pesa chafu ama lah

wacha kupotosha
hela ziliwekwq kabla hata mgogoro wa vip.
kuna mgogoro mwingine ulikuwapo kabla ya huo.
huo wa vip ulikujs baada ya sethi kitaka kuchukua zote peke yake bila vip.
 
Shuhudia hii pesa ingekuwa imerudishwa na mmoja wa makamanda hawa Lissu, Lema, Mbowe, Bulaya au Mdee mama weeeeeeee! Mbingu za Tanzania zingepasuka kwa kelele za malaika asiyekosolewa na MACCM wote nchini, lakini hapa kimyaaaaaaa wameufyata kama hawajasikia kilichotokea!




My take:
Wenzetu hawa wamekosa maarifa kila siku wanaharibu na wasilolijua ni kuwa wanaharibu ili mpango wa Mungu utimie.

Maajabu ya siasa za Tanzania yanazidi maajabu yanayopatkana katika anga za juu!

Anyway,Bongo mradi tu kunakucha!!
 
Mi nadhani ni vema serikali iendelee kuhamasisha hata akina vijisenti na hela ya mboga warudishe ili vidhibiti viwe vya kutosha ili iwe rahisi kuwatia hatiani na hela zetu tayari zisharudi

Sent from my TECNO-Y3+ using JamiiForums mobile app
 
I kinda wonder the same too......

But, does that mean Lissu supports the president's efforts in the war against graft?
Nyani acha kujifanya mmarekani wewe ni mmatumbi tu

Sent from my Lenovo A2010-a using JamiiForums mobile app
 
Time gonna tell. Lakini pia nishangae ya Lissu. Mbali na kutumia kiingereza kibovu kwenye tweeter yake pia sijafahamu kama kweli anadhamira ya dhati ya alichoki wonder. Tundu hajawahi hata kuonyesha kuunga mkono anachotenda Rais zaidi ya kupinga. Tundu hajawahi kuona kazi yoyote nzuri ya polisi au takukuru katika nchi hii. Leo anashangaa kwanini hawajamkamata Ngeleja! Sina uhakika iwapo asingeshangaa iwapo wangemkamata. Kwa kuwa kuna kila dalili kuwa Ngeleja atakuwa mikononi mwa dola siku zijazo, ni suala la muda na utunzaji tu wa kumbukumbu kuona ni nini huyu jamaa ataropoka kuhusu hilo!

Sent from my MediaPad T1 8.0 using JamiiForums mobile app
Ni ngumu sana Kwa MTU mwenye akili timamu kupongeza maigizo.
 
Jinai ina taratibu zake, kwanini usisubiri kijana?
au upande wa serikali washatangaza kwamba jalada limefungwa kwa wahusika wengne?

Upande wa serikali ndiyo walitakiwa wawe wakwanza kabla ya kina lugemalira, hao waliochukua fedha za umma na kuwapa wakina luge nduyo wangetuambia waliwapa kwa makubaliano gani?
 
sisi pia tunawashangaa nyinyi mawakili wenye dhamana mpaka muda huu hamjamshitaki kwa niaba ya watanzania!
 
wacha kupotosha
hela ziliwekwq kabla hata mgogoro wa vip.
kuna mgogoro mwingine ulikuwapo kabla ya huo.
huo wa vip ulikujs baada ya sethi kitaka kuchukua zote peke yake bila vip.
magoli yalikuwa yanahama kadri hoja zinapojibiwa,
walisema pia pesa ziliwekwa escrow baada ya kuwepo mgogoro kati ya IPTL Kuhusu kufanya recalculation kuwa IPTL walikuwa wanaovercharge kama sikosei,hilo nalo likajibiwa na muhongo kuwa recalculation ilifanyika,

wakahamisha goli kuwa hizo pesa anaetakiwa kulipwa ni standard chartered hong kong kwani alikuwa anadai IPTL,
Wakahamisha tena kuwa PAP haitakiwa kulipwa kwani imeghushi usajili ama imesajiliwa baada ya kulipwa pesa ,etc

sasa maadamu kesi imeshafika mahakamani kila kitu kitawekwa wazi,
 
Ilitakiwa amrudishie aliempa

Sent from my TECNO-L8Plus using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom