zitto junior
JF-Expert Member
- Oct 7, 2013
- 18,914
- 28,524
hajaongea kingereza kibovu popote pale zaidi amesahau KIUNGANISHITime gonna tell. Lakini pia nishangae ya Lissu. Mbali na kutumia kiingereza kibovu kwenye tweeter yake pia sijafahamu kama kweli anadhamira ya dhati ya alichoki wonder. Tundu hajawahi hata kuonyesha kuunga mkono anachotenda Rais zaidi ya kupinga. Tundu hajawahi kuona kazi yoyote nzuri ya polisi au takukuru katika nchi hii. Leo anashangaa kwanini hawajamkamata Ngeleja! Sina uhakika iwapo asingeshangaa iwapo wangemkamata. Kwa kuwa kuna kila dalili kuwa Ngeleja atakuwa mikononi mwa dola siku zijazo, ni suala la muda na utunzaji tu wa kumbukumbu kuona ni nini huyu jamaa ataropoka kuhusu hilo!
Sent from my MediaPad T1 8.0 using JamiiForums mobile app
hana imani na polisi kabisa ila ameshangaa kwamba kama waliweza mkamata seth na ruge basi kwa spidi ile ile wangemkamata na huyu fisadi ngeleja !!!
pia acha upotoshaji lisu amemsifia sana magufuli kwenye issue ya Escrow hta aliweka uzi hapa JF kusifia hatua ile ya kuwakamata mafisadi ana akaomba aende mbali zaidi kwa kuwakamata wale wote waliohusika na ufisadi huuu
kingine lisu sio mropokaji ila yye ni mpinzani hivyo lazima awe pro active kwa kila kinachofanywa na serikali na hii ndio biggest role ya opposition kwenye nchi yoyote hta civics ya form 2 inafundisha hivo sasa mlitaka akae kimya alafu ndio kuna faida gani ya upinzani kuwepo???
ni hayo tu