Live : Shughuli nzima ya Kampeni ya Tundu Lissu leo Zanzibar
Source : swahili villa
Mapokezi ya Tundu Lissu alipowasili airport Zanzibar
Updates:
LISSU AKIZUNGUMZIA KUMUUNGA MKONO MAALIM SEIF UCHAGUZI WA ZANZIBAR
Tundu Lissu : Uchaguzi huu ni muhimu kwa taifa la Zanzibar lazima maamuzi magumu yafanyike hapa Zanzibar na kule Tanganyika
7 Sep 2020
Mgombea Urais wa Chadema, Tundu Lissu amesema Chama hicho kitamuunga mkono Maalim Seif kwa nafasi ya Urais Zanzibar kwa kuwa ndio mgombea pekee mwenye nguvu. Lissu ameyasema hayo leo wakati akizungumza na wanachama wa chama hicho katika viwanja vya kibanda Maiti mjini Unguja. Hata hivyo Lissu amesema kwa upande wa Tanzania Bara wanachama wa cha ACT Wazalendo kumuunga mkono Mgombea wa Chadema ambae ni yeye
Source: mwananchi digital
SIKU YA JUMATATU SEPTEMBA 07, 2020
Asalaam alyekum Waheshimiwa Viongozi, Wagombea wa Ubunge, Uwakilishi, Udiwani, Wanachama, Wadau na Wapenzi wa Chadema na Upinzani kwa ujumla.
Source : Swahili Villa
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Tundu Antipas Lissu akiambatana na mgombea mwenza wake Mheshimiwa Salum Mwalim watakuwa na mkutano wa ufunguzi wa kampeni Zanzibar, siku ya Jumatatu Septemba 07, 2020 kuanzia Saa nane Mchana katika viwanja vya Kibandamaiti mjini Unguja, Zanzibar.
Mheshimiwa Lissu ataongozana na Mwenyekiti wa Chadema Taifa Mheshimiwa Freeman Mbowe, Katibu Mkuu wa Chadema Mheshimiwa John John Mnyika na viongozi wengine mbalimbali wa chama CHADEMA.
Mapokezi yatafanyika Uwanja wa Ndege wa Zanzibar Abeid Amani Karume international Airport kuanzia Saa nne za Asubuhi.
Msafara utatoka Uwanja wa ndege na kupita katika maeneo yafuatayo Kiembesamaki, Magomeni kwa Mchina, Mwanakwerekwe, Magomeni, Kwa Boko, Mwembenjugu, Kwa Alimsha, Karikakoo, Bizired, BOT Mkunazini, Mlandege, Michenzani na kuelekea Kisiwandui zilipo Ofisi za chama za CHADEMA.
Kisha na kufatiwa na Mkutano wa hadhara utakaofanyika katika Viwanja vya Kibandamaiti kuanzia Saa nane za mchana.
Pamoja na salaam za chama
Kado Salmini Mwalimu
Kny Naibu Katibu Mkuu
Chadema, Zanzibar
Source: Swahili Villa
Source : swahili villa
Mapokezi ya Tundu Lissu alipowasili airport Zanzibar
Updates:
LISSU AKIZUNGUMZIA KUMUUNGA MKONO MAALIM SEIF UCHAGUZI WA ZANZIBAR
Tundu Lissu : Uchaguzi huu ni muhimu kwa taifa la Zanzibar lazima maamuzi magumu yafanyike hapa Zanzibar na kule Tanganyika
7 Sep 2020
Mgombea Urais wa Chadema, Tundu Lissu amesema Chama hicho kitamuunga mkono Maalim Seif kwa nafasi ya Urais Zanzibar kwa kuwa ndio mgombea pekee mwenye nguvu. Lissu ameyasema hayo leo wakati akizungumza na wanachama wa chama hicho katika viwanja vya kibanda Maiti mjini Unguja. Hata hivyo Lissu amesema kwa upande wa Tanzania Bara wanachama wa cha ACT Wazalendo kumuunga mkono Mgombea wa Chadema ambae ni yeye
Source: mwananchi digital
SIKU YA JUMATATU SEPTEMBA 07, 2020
Asalaam alyekum Waheshimiwa Viongozi, Wagombea wa Ubunge, Uwakilishi, Udiwani, Wanachama, Wadau na Wapenzi wa Chadema na Upinzani kwa ujumla.
Source : Swahili Villa
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Tundu Antipas Lissu akiambatana na mgombea mwenza wake Mheshimiwa Salum Mwalim watakuwa na mkutano wa ufunguzi wa kampeni Zanzibar, siku ya Jumatatu Septemba 07, 2020 kuanzia Saa nane Mchana katika viwanja vya Kibandamaiti mjini Unguja, Zanzibar.
Mheshimiwa Lissu ataongozana na Mwenyekiti wa Chadema Taifa Mheshimiwa Freeman Mbowe, Katibu Mkuu wa Chadema Mheshimiwa John John Mnyika na viongozi wengine mbalimbali wa chama CHADEMA.
Mapokezi yatafanyika Uwanja wa Ndege wa Zanzibar Abeid Amani Karume international Airport kuanzia Saa nne za Asubuhi.
Msafara utatoka Uwanja wa ndege na kupita katika maeneo yafuatayo Kiembesamaki, Magomeni kwa Mchina, Mwanakwerekwe, Magomeni, Kwa Boko, Mwembenjugu, Kwa Alimsha, Karikakoo, Bizired, BOT Mkunazini, Mlandege, Michenzani na kuelekea Kisiwandui zilipo Ofisi za chama za CHADEMA.
Kisha na kufatiwa na Mkutano wa hadhara utakaofanyika katika Viwanja vya Kibandamaiti kuanzia Saa nane za mchana.
Pamoja na salaam za chama
Kado Salmini Mwalimu
Kny Naibu Katibu Mkuu
Chadema, Zanzibar
Source: Swahili Villa