saks
Member
- Jun 8, 2015
- 47
- 51
Hawa ndo wasomi tunao wahitaji katika taifa, watu walio na uwezo wa kujenga hoja na kuchambua na hatimae kutoa taarifa sahihi ambayo italinufaisha taifa sio tu kwa elimu lakini pia kwa hasara zisizokuwa na kichwa wala miguu, lakini katika nchi yetu inatokea watu fulani kwa maslahi yao wenyewe wanataka kuwaangamiza na Mungu nae ana makusudi yake bado wapo kwa mara nyingine tunashudia usomi sio kuwa na vyeti vingi vya udoctor au uprofesor bali uelewa