Wafalme wa kale walipofanya makosa basi walitubu tena hadharani..kuomba msamaha wa mwenyezi Mungu
.mfalme Daudi wa Islael ni mfano baada ya kumtanguliza Mume ili auawe apate kumwoa mke wake.
Risasi 24 mwilini zikuingie then ukapona ni unabiii wa waziwazi maana Mungu aliweka mkono wake pale!!
Sasa kama hutaki kutubu na kuacha maovu yote basi Mungu anakuondolea ulinzi wake na unaweza kushambuliwa mwili na hata nafsi yako kirahisi mno
Ni kweli katika vita hii Lissu ni mshindi tena kashinda kwa alama nyingi.
.mfalme Daudi wa Islael ni mfano baada ya kumtanguliza Mume ili auawe apate kumwoa mke wake.
Risasi 24 mwilini zikuingie then ukapona ni unabiii wa waziwazi maana Mungu aliweka mkono wake pale!!
Sasa kama hutaki kutubu na kuacha maovu yote basi Mungu anakuondolea ulinzi wake na unaweza kushambuliwa mwili na hata nafsi yako kirahisi mno
Ni kweli katika vita hii Lissu ni mshindi tena kashinda kwa alama nyingi.