Tundu Lissu ni mshindi

Tundu Lissu ni mshindi

Lissu is winner na Wapangaji WA mauaji yake ndio hawo washaenda mmebakia nyie walamba nyayo. Mkiambiwa leteni ushahidi WA maneno anayotoa mabaya kwa nchi yake mara ohh nikibaraka mara sijui nini hamna hoja hata moja. Bado bashite na waliopanga udhalimu WAkutaka kumdhulumu uhai wake.
Nanyinyi leteni ushahidi wa hao waliopanga mauaji yake. Yote anayoongea Lissu kwenye media za nje huyaoni wala huyaskii? Au unataka ushahidi gani?
 
Unapoteza muda wa kutafuta kipato na familia yako unamuwaza Lissu?

Lissu hata chadema haimtaki, system haimtaki,.Kaa nae kunywa nae chai, acha ujinga

Baada ya msiba Lissu alikuwa na uwezo wa kuwa rais wa nchi badala yake kanunua ugomvi na wafiwa na kasema kafurahia kifo cha JPM

Sio mwanasiasa, kama unadhania kifo ni ushindi, hongera yeye atakayekaa milele



Lissu kashindwa na jamii, kaaibika, aibu kuu
Mara nyingi jiwe linalokataliwa hugeuka kuwa jiwe KUU LA PEMBENI
 
Meko kaondoka zake. Kamaliza safari yake ya hapa Duniani. Hakuna anaemhukumu zaidi ya Muumba wa wa yote. Mataga mnahangaika kuchafua watu.

Kifo cha Meko kiwe ni funzo kwetu sote tulio hai. Nasema hivyo kwasababu sote ni mashahidi wa matendo ya wenye mamlaka dhidi ya Wakosoaji wao.

Hebu fikiria mamlaka aliokuwa nayo Meko ulinzi wote ule ubabe wote ule kiburi chote kile na dharau kwa asiowapenda lkn mauti yamemshinda. Tubadilike hatujui siku wala saa.
Rais yeyote akifa madarakani akiwa na kila kitu cha kumuweka hai mpaka hata akiwa mstaafu, asitafutwe mchawi kujua kilichosababisha kifo ni Mungu aliyemuweka pale amemuondoa duniani kwa madhambi yake aliyowatendea kondoo wa BWANA aliyehai. Rais au Mfalme aliyeteuliwa na Mungu na kupakwa Mafuta ili awaongoze watu wake kwa haki kama yeye alivyo Mungu wa Haki, akikiuka maagizo toka juu, hakuna uwezo wa Binadamu unaweza kumuokoa toka hasira ya Mungu. Kwa gharama za wanyonge aliokabithiwa na Mungu, Rais wetu mpendwa angeweza kupata Bingwa wa Afya toka popote duniani, Marekani, Uingereza alikowekewa Pacemaker, Japan hata Madagascar, madege yapo. Tegemeo la umri wa kuishi Tanzania ni zaidi ya miaka 60 lakini kwa Rais kufariki katika umri huo badala ya 100, Viongozi wajao wajiepushe kabisa na aina yake ya uongozi ili wapate baraka za Mungu. Ubabe na kiburi Mungu hapendi!
 
huyu naye sijui kaamkia na maharage ya wapi yaani kaja kujamba tu humu
 
SIKU baadhi ya watu humu watajua tabia za viongozi wanaoongoza nchi za kijamaa,na wanavyobadili tabia na fikra za wananchi kuwa zenye mitazamo ya chini,wengi watajuta.
Unapoteza muda wa kutafuta kipato na familia yako unamuwaza Lissu?

Lissu hata chadema haimtaki, system haimtaki,.Kaa nae kunywa nae chai, acha ujinga

Baada ya msiba Lissu alikuwa na uwezo wa kuwa rais wa nchi badala yake kanunua ugomvi na wafiwa na kasema kafurahia kifo cha JPM

Sio mwanasiasa, kama unadhania kifo ni ushindi, hongera yeye atakayekaa milele



Lissu kashindwa na jamii, kaaibika, aibu kuu
Haya ni baadhi ya madhara
 
Lisu ni kibaraka! Sana Sana atakachokifanikisha huko ughaibuni ni kuwa Rais wa LGBT+!!!!!. Mabeberu wanamwandaa kwa hilo!!
 
Itachukua zaidi ya miaka 40 watanzania waje kuamini katika siasa za upinzani.
 
Unapoteza muda wa kutafuta kipato na familia yako unamuwaza Lissu?

Lissu hata chadema haimtaki, system haimtaki,.Kaa nae kunywa nae chai, acha ujinga

Baada ya msiba Lissu alikuwa na uwezo wa kuwa rais wa nchi badala yake kanunua ugomvi na wafiwa na kasema kafurahia kifo cha JPM

Sio mwanasiasa, kama unadhania kifo ni ushindi, hongera yeye atakayekaa milele



Lissu kashindwa na jamii, kaaibika, aibu kuu
Mkuu Waberoya najutia ile kura niliyompa lisu, bora ningekaa nyumbani nifanye mambo mengine Daudi hakuwai kufurahia kifo cha sauli adui yake.
 
Ni Mshind wa kupambania ushoga mnao uita faragha za mtu Binafsi Yan uyo Tundulisu unao mfananisha nao Wana kulani sana
 
Tundu Lissu ni raiya aliyetengenezewa propaganda za kila aina lakini hajawezekana.

Kila anayeshindana na Lissu lazima aanguke, ata akipata ushindi huo ushindi haudumu.

Alimsema Baba wa taifa tukajua hilo litakuwa anguko lake la kisiasa lakini wapi.

Lissu husimama upande wa ukweli na kweli humweka huru
 
Lissu ameshinda nini hadi anakimbia nchi? Ameifanyia nini Tanzania zaidi ya kuichafua? Tuwe serious kidogo. Mwandishi wa makala hiyo ni Lissu au kuwadi wake. Sasa anafurahi Magufuli amekufa. Je itamuongezea nini. Natamani arejee nchini aone atakavyopokelewa. Inawezekana waliompiga risasi ni waliokuwa wakijipendekeza kwa Magufuli au hata maadui zake wengine ambao hawana uhusiano na serikali. Wapo wanaosema ni Bashite. Siku moja tutajua ukweli na utatuweka huru.
Watoto wa marehemu Jiwe hawalii Wala kuzimia huku nyinyi mataga mnalia na kuzimia huku mmeshikili a mifuko na juice mkononi
Screenshot_20210324-232516.png
 
na wiwa kusema kuwa, Mungu wa mbinguni utukufu wake uwe pamoja nasi, andiko limekua kweli tupu kwa sababu Mungu wetu hakuficha madhaifu ya dhambi za manabii wake, hata wafalme aliandika. Tunaposoma madhaifu ya musa, daudi tunapata fundisho. Hata lisu madhaifu yake yaliandikwa na wengne na wengi tumejifunza. Lakini madhaifu ya aliyesabbisha hayakuorotheshwa je sisi hamtaki tujifunze. Ili tuikimbie dhambi isije ikatutafuna kama ilivyomtafna mpinzani wa lisu?
 
na wiwa kusema kuwa, Mungu wa mbinguni utukufu wake uwe pamoja nasi, andiko limekua kweli tupu kwa sababu Mungu wetu hakuficha madhaifu ya dhambi za manabii wake, hata wafalme aliandika. Tunaposoma madhaifu ya musa, daudi tunapata fundisho. Hata lisu madhaifu yake yaliandikwa na wengne na wengi tumejifunza. Lakini madhaifu ya aliyesabbisha hayakuorotheshwa je sisi hamtaki tujifunze. Ili tuikimbie dhambi isije ikatutafuna kama ilivyomtafna mpinzani wa lisu?
 
Back
Top Bottom