Kisa hiki cha Mussa nimekisoma leo asubuhi Kutoka 1: 10-25Nabii Musa alikimbia Kutoka Misri kwenda nchi ya Midian, kisa na mkasa alikimbia mkono wa Farao baada ya kumuua mmisri akiwa anamtetea muisrael mwenzake. Baadaye alirudi kuwakomboa waisrael.
Kisa hiki cha Mussa nimekisoma leo asubuhi Kutoka 1: 10-25Nabii Musa alikimbia Kutoka Misri kwenda nchi ya Midian, kisa na mkasa alikimbia mkono wa Farao baada ya kumuua mmisri akiwa anamtetea muisrael mwenzake. Baadaye alirudi kuwakomboa waisrael.
Acha ubishi. Mshahara wa dhambi ni mautiBas sawa tumekuelewa wote waliokufa ni wenye dhambi,, kwa maaelezo yako waliobak watakua ni Malaika
Kifo ni kitu ambacho kila mtu lazima akipitie hata manabii wa Mungu wamekipitia ila shetani yupo hadi leo,je tutasema shetani ni mshindi? Binafsi huwa nashangaa sana pale mtu anapofurahia kifo cha mwengine wakati anajua hata yeye lazima atapitia huko na hali hajui atakufa kwa hali gani,sidhani kama kifo cha mtu mwengine ni ushindi.Kuna mtu jana tu kashindwa. Amelala juu ya udongo.
Leteni ushahidi badala ya hisia na umbea. Kwani Lissu ni malaika? Vinginevyo tunachoweza kufanya ni kuwapuuza.
Mpambanaji wa kwelii hakimbiaa na kuwacha watu wake akisubiri mhusika afe ndio arudi![]()
Bora block kuliko maisha yako kuwa mashakaniLisu mwenyewe ukikomenti tofauti na mawazo yake kule Twitter anakupa block sasa ushindi gani uo.
Mtapamba sana ila naamini hakuna binadam mkamilifu na hakuna binadam asiyekubali kukosolewaMshindi Bora m Yule anayepambania maslahi ya nchi yake na Yuko tayari age Kwa sababu ya wengi,
Kwenye hao wawili, JPM ni mshindi
Ukimwona Lissu umuulize Kwa nini ni yeye tu alipigwa lisasi na si mwingine?? Au ndio wale waliokuwa vikwazo Kwa nchi??
Kwa nini kabla ya tukio kulikuwa na kuwatia hofu viongozi eti Kwa mradi Fulani mwaweza Fanya, Ila huu msifanye Kwa sababu mtashitakiwa na mara sjui Miga
Lakini hakuna cha Miga Wala nini, Je nikweli labda alikuwa miongoni mwa waliokuwa upande wa manyonyaji na mabeberu?? Mbona hatukushitakiwa na angalau nchi INA shere na mabeberu kwenye migodi!!
Kwa nini ni yeye tu?
Ombea adui yao aishi miaka mingi, ili utakapo barikia ajionee kwa macho.amna hata kabisa afe kabla hajaona baraka zake mungu ameweka mbele yako.
Lissu sio mshindi ilibidi anaesemekana kuwa adui yake aishi miaka mingi aone mafanikio ya lissu.
Je lissu akifanikiwa kweli nani ataona sasa?
Mamlaka ilitaka kuficha mauti lakini wakaona maiti itawaumbuaHebu fikiria mamlaka aliokuwa nayo Meko ulinzi wote ule ubabe wote ule kiburi chote kile na dharau kwa
Uchunguzi huru ungefanyika tufahamu mbichi na mbivu.Nani alimshambulia Mh.Lissu kwa mvua ya risasi mchana kweupe?Kwa nini hakuna upelelezi uliofanyika?Utetezi wenu wa kusema Mh.Lissu ni muumini wa ushoga hautoshi na hakuna ukweli maana ni mambo ya kufikirika.Jiulize hapa nchini kuna mashoga?Lissu ndiyo anawezesha uwepo wao au ni Tabia za binadamu kwa hiari yao wameamua kuwa mashoga/mabasha?Je,serikali imefanya nini kuwaangamiza?Kumsingizia Mh.Lissu kwa masuala ya ushoga ni upungufu wa kufikiri ama upotoshaji wa hoja za msingi.Lissu ameshinda nini hadi anakimbia nchi? Ameifanyia nini Tanzania zaidi ya kuichafua? Tuwe serious kidogo. Mwandishi wa makala hiyo ni Lissu au kuwadi wake. Sasa anafurahi Magufuli amekufa. Je itamuongezea nini. Natamani arejee nchini aone atakavyopokelewa. Inawezekana waliompiga risasi ni waliokuwa wakijipendekeza kwa Magufuli au hata maadui zake wengine ambao hawana uhusiano na serikali. Wapo wanaosema ni Bashite. Siku moja tutajua ukweli na utatuweka huru.
Watu wanashindwa kuona kuwa Lissu hayupo sawa anahitaji msaada,wao wanamsifia tu vile anavyobwatuka.Umesahau na sifa ya kutetea "ushoga!"
Sasa sijui Mungu gani atakuwa na mtu anayetetea ushoga!
Nawaza kwa sauti!
Mungu ni mwema sana. NimeaminiHuwa nacomment post kadhaa huku jf nikiwaambia UOVU HAUSHINDI.
NIkweli uovu haushindi.
Ushoga ulianzia huku...Umesahau na sifa ya kutetea "ushoga!"
Sasa sijui Mungu gani atakuwa na mtu anayetetea ushoga!
Nawaza kwa sauti!
Muhammad alikimbia Makka.YESU alikimbilia Misri