TensorFlow
JF-Expert Member
- Feb 11, 2020
- 1,067
- 1,357
Nimeisoma hii story yote.
Hahahahhahahhaa Mwalla umenicheksha jamanHebu tuondolee hii kitu Meko yenu imishakwenda usituletee habar za maiti tuongelee waliohai😎
PoumberKwanini akuondolee, si useme yako na uache na uhuru wa wengine. Kwa wengine kama mimi, mada hapo juu ni kulazimisha attention tu ili kushindana na attention anayopewa marehemu. Huo ni mtazamo wangu. Na ni mtazamo wangu pia, kama mtu anatamani sana attention ya aliyelala mauti na yeye afe atapewa stahili yake.
Alipofika Dar es salaam tu hakurudi tena.YESU alikimbilia Misri
Mbona tulimshinda Iddi Amini na bado tukamuombea na kifoSio mwanasiasa, kama unadhania kifo ni ushindi, hongera yeye atakayekaa milele
Ombea adui yao aishi miaka mingi, ili utakapo barikia ajionee kwa macho.amna hata kabisa afe kabla hajaona baraka zake mungu ameweka mbele yako.
Lissu sio mshindi ilibidi anaesemekana kuwa adui yake aishi miaka mingi aone mafanikio ya lissu.
Je lissu akifanikiwa kweli nani ataona sasa?
Kuna mtu jana tu kashindwa. Amelala juu ya udongo.Unapoteza muda wa kutafuta kipato na familia yako unamuwaza Lissu?
Lissu hata chadema haimtaki, system haimtaki,.Kaa nae kunywa nae chai, acha ujinga
Baada ya msiba Lissu alikuwa na uwezo wa kuwa rais wa nchi badala yake kanunua ugomvi na wafiwa na kasema kafurahia kifo cha JPM
Sio mwanasiasa, kama unadhania kifo ni ushindi, hongera yeye atakayekaa milele
Lissu kashindwa na jamii, kaaibika, aibu kuu
Mpambanaji makini hujiokoa ali aendelee na mapambano. Kufia vitani ni kufeli. Ushujaa ni kushinda na kubaki salama.Mpambanaji wa kwelii hakimbiaa na kuwacha watu wake akisubiri mhusika afe ndio arudi![]()
Herode amekufa Lissu anaweza kurudi nyumbaniLissu ameshinda nini hadi anakimbia nchi? Ameifanyia nini Tanzania zaidi ya kuichafua? Tuwe serious kidogo. Mwandishi wa makala hiyo ni Lissu au kuwadi wake. Sasa anafurahi Magufuli amekufa. Je itamuongezea nini. Natamani arejee nchini aone atakavyopokelewa. Inawezekana waliompiga risasi ni waliokuwa wakijipendekeza kwa Magufuli au hata maadui zake wengine ambao hawana uhusiano na serikali. Wapo wanaosema ni Bashite. Siku moja tutajua ukweli na utatuweka huru.
Hasa wale wanne kwenye ile picha. 😅😅😅Kifo ni dhambi. Mauti ni matokeo ya dhambi. Mungu huondoa haraka watu waovu hapa duniani.
Lissu rudi nyumbani waovu wanapukutika kwa mkono wa Mungu kupitia covid 19
Akarudi baada ya adui yake Herode kufa kifo kibaya sana kama cha adui wa Lissu.YESU alikimbilia Misri
Tundu Lissu wananchi walimwelea na kumkubali shetani akafurahia ushindi haramu wa damu akadhani ni ushindi. Mpaka sasa Lissu 3- jpm 0Ukisimamia ukweli Mungu hukuongoza unaweza hata ukapigwa RPG na usiwe.
Watu tumelala kwa shida kweli hapa Chato wewe mwenzetu umelala mpaka unaota?Nabii Musa alikimbia Kutoka Misri kwenda nchi ya Midian, kisa na mkasa alikimbia mkono wa Farao baada ya kumuua mmisri akiwa anamtetea muisrael mwenzake. Baadaye alirudi kuwakomboa waisrael.
Alihadi na Masanja ni watukufu sana.😅Mwingira siyo mtumishi wa Mungu!
Kifo cha aibu sanaTundu Lissu wananchi walimwelea na kumkubali shetani akafurahia ushindi haramu wa damu akadhani ni ushindi. Mpaka sasa Lissu 3- jpm 0
Mungu akubariki Mtumishi wa Mungu. Neno la Mungu li-hai daima.Nabii Eliya alimkimbia Malikia Yezebeli ambaye alitaka kumuua kisa na mkasa alikuwa mkosoaji mkubwa wa ufalme wake, na hakutaka kuungana naye. Baadaye Eliya alirudi akawaangamiza majeshi ya manabii bandia wa Yezebeli
Nabii Daudi alikimbia Yerusalemu akimkimbia Mwanaye Absalomu ambaye alitaka kumpindua. Baadaye Daudi alirejea na kuikomboa nchi yake.