Kwanini unatumia nguvu kubwa namna hii kueleza chuki zako binafsi dhidi ya watu wengine? kama hana akili aliwezaje kupata masters? wacha poroja za kipumbavu wala hazikujengei!
Radhia Sweety,
Mimi sifikirii eti mtu akiwa na degree basi ana akili nyingi sana tuseme ukweli hivi mbona kuna vichwa vinakubalika humu jf lakini havina hata hoyo diploma? mfano gonga hapa Parliament of Tanzania
sasa iweje leo hii mtu akisema kitu mnakimbia hajasoma au hana elimu? hao wenye elimu si walizaliwa na wasio na elimu? je baada ya kupata hizo elimu zao hawakuwasikiliza wazee wao kwa kuwa hawana elimu? agrrrrrrrrrrrrrrr
hivi kazaa kweli?Mheshimiwa sana mama Makinda sijui huwa anafikirije. Ikiwa mbunge wa Chadema anatukanwa na wa CCM hakuna cha kuomba utaratibu wala muongozo - watu wanatakiwa watulie na kusikiliza. Ikiwa wa CCM ndio anasemewa mbovu na upinzani utamwona anavyokuwa mkali "tafadhali mheshimiwa so and so futa kauli yako". Yaani upendeleo nje nje kama mama wa kambo mwenye roho mbaya.................
Hivi wewe ulisoma wapi?
Hivi ukiwa na elimu ya juu ndio unakuwa mtu makini..Anderson Cooper wa CNN ana degree kachukuwa Yale University halafu ni shoga.
hivi kazaa kweli?
EDUCATION School Name/Location Course/Degree/Award Start Date End Date Level Jambiani Primary School Primary Education 1960 1963 PRIMARY Makunduchi Secondary School Secondary Education 1968 1969 SECONDARY
ufitini wa tl upo wapi?, kuhoji alipo kasim hanga na wenzake ni ufitini? Basi kama ni ufitini ni fitna ya kheri.suala ni kupima maneno yake kuwa tundu lisu ni mfitini na mtu asiye na akili kama yana ukweli wowote. Kutuletea elimu yake hapa haitasaidia kumfanya tundu lisu kuwa na akili au kuwa siyo mfitini. Hili suala la elimu ya huyu mheshimiwa linatakiwa lianzishiwe mjadala mwingine ambao hauna uhusiano wowote ule na maoni aliyotoa juu ya tundu.
. Sasa unashangaa nini wakati ndo kazi aliyotumwa kufanya? Vua gamba vaa gwandaMheshimiwa sana mama Makinda sijui huwa anafikirije. Ikiwa mbunge wa Chadema anatukanwa na wa CCM hakuna cha kuomba utaratibu wala muongozo - watu wanatakiwa watulie na kusikiliza. Ikiwa wa CCM ndio anasemewa mbovu na upinzani utamwona anavyokuwa mkali "tafadhali mheshimiwa so and so futa kauli yako". Yaani upendeleo nje nje kama mama wa kambo mwenye roho mbaya.
. Sasa unashangaa nini wakati ndo kazi aliyotumwa kufanya? Vua gamba vaa gwanda
Mbunge wa CCM kutoka Magomeni, Zanzibar aliyemwita Tundu Lissu ni MFITINI na ASIYE NA AKILI TIMAMU.
Kwa jina anaitwa Muhammad Chomboh. Nawahurumia sana watoto wake na familia yake kwa ujumla, SHAME!!!.
EDUCATION School Name/Location Course/Degree/Award Start Date End Date Level Jambiani Primary School Primary Education 1960 1963 PRIMARY Kusini Primary School Primary Education 1964 1967 PRIMARY Makunduchi Secondary School Secondary Education 1968 1969 SECONDARY Institute of Finance Management (Dar Es Salaam) Diploma 1979 1981 DIPLOMA
++>Mbunge wa Magomeni (CCM), Muhammad Amour Chomboh, alisema maneno yaliyotolewa na Lissu ni ya ufedhuli.
Napenda kumfahamisha yeye (Lissu) pamoja na wengi walio humu ndani wenye mawazo mgando kama yeye na waliokuwapo nje ya jumba hili, Zanzibar sio koloni la Tanganyika na halitakuwa hata siku moja koloni la Tanganyika. Na mheshimiwa Lissu Agosti 8 mwaka huu, alizungumza huyu kuhusiana na mambo ya Muungano kuchangia katika hotuba ya Muungano akajaribu kuwataja viongozi, ambao ni victim (waathirika) wa Muungano, ambao ni muongo na mnafiki, alisema.
Aliongeza: Nataka kumwambia kuwa Wanzanzibari hawatakubaliana na mpuuzi yoyote na uozo wowote, ambao umezungumzwa hapa kwa minajili ya kutaka kutugombanisha, alisema.
Alipotaka kuendelea, alikatishwa na Lissu aliyekuwa akiomba utaratibu.
Kwa mara nyingine, Lissu alisimama akitaka kutoa taarifa hata hivyo, lakini Spika wa Bunge, Anne Makinda, aliingilia kati na kuwataka wabunge wote kuwa wavumilivu na kisha kumruhusu Chomboh kuendelea kuchangia.
From: Home ++<
Shule yenyewe inatia huruma......... Sasa kila kitu wazi.