Magufuli hata akifika 2020 utakuwa muuaji za hajiwezi huyu fisadi wakuondolewa mapemaHebu acha kutuletea kilema huyo. Urais mtaupata may be mwaka 3025 tena tukipenda!
Magufuli hata akifika 2020 utakuwa muuaji za hajiwezi huyu fisadi wakuondolewa mapemaHebu acha kutuletea kilema huyo. Urais mtaupata may be mwaka 3025 tena tukipenda!
Magufuli hana vigezo vya kubaki hatuwezi kubaki za eti kwa sababu tunamuogopa lissuKwa hulka za TL ni bora Mara 100 abaki Magufuli kwa sababu kwa hulka za TL sio tu kwamba atakuwa dictator uchwara bali ni dictator haswa. Tuachane na kutafuta rais kwa sababu tu tunataka fulani aondoke hapana bali tutafute rais wa kuongoza taifa, ni rahisi sana kumshauri Magufuli na sio TL
Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu..uliyotabiri yametimia.Subiri uone CDM 2020 watamsimamisha nani utashangaa, wale jamaa kuna muda unaona wana akili alafu kuna muda unajiuliza zimeenda wapi, walifanya hivyo kwa Lowassa, subiri 2020 uone watakavyotuabisha, wanaweza mrudisha Lowasa tena, Lissu anaweza kuleta serious competition ila ajiangalie sana kuna baadhi ya kauli anatoa sasa hivi wabongo walivyo utaanza kusikia lissu ni kibaraka wa wazungu, na wote tunajua wabongo wanavyochukia wazungu.
Huyu aliyopo sasa hivi ana pasonality?Hahahahaha,asimame tu,yaani CCM inashinda bila jasho.Huyo Lissu hana personality ya kumfanya awe Rais.
hivi leo unasimamia nini?Huyu si ndiyo alimtukana Lowasa kwa zaidi ya miaka 8,au mmesahau?Leo anamsifia Lowassa,hata hajafafanua why anamsifia.
Nasimamia haki
Wewe umejuaje wakati Lissu hajawahi kuongoza serikali? Kwenye Chama anashauriwa anakubali na anaheshimu maamuzi ya Chama!Kwa hulka za TL ni bora Mara 100 abaki Magufuli kwa sababu kwa hulka za TL sio tu kwamba atakuwa dictator uchwara bali ni dictator haswa. Tuachane na kutafuta rais kwa sababu tu tunataka fulani aondoke hapana bali tutafute rais wa kuongoza taifa, ni rahisi sana kumshauri Magufuli na sio TL
Sent using Jamii Forums mobile app
Kipindi kile John Cheyo akigombea urais aliwahimiza kwamba "atawajaza mapesa" hata kula hamukumpigia. Nafikiri sasa akirudi na sera yake ya kutujaza mapesa tunampaPorojo nyingi na mbwembwe za ccm ni kwamba hawahitaji kura hata moja kushinda uchaguzi wanachohitaji ni mwenyekiti wa tume amtangaze mgombea urais wa ccm kushinda ,matokeo ambayo hayawezi kupingwa popote kisheria .Bado wakurugenzi kuwatangaza wabunge ,kumbuka wote hawa ni wateule warais ,sasa suala la kusema ccm inapendwa ipendwe na nani kwa ufukara iliowaletea watanzania watu hata pesa za kula hawana halafu wawapende ,kuongoza hamjui , vipaumbele hamjui , mzunguko wa pesa hamjui unatakiwa uweje ? Nyinyi kuongoza mnafikiri ni kutisha watu na kutoa ma amri ya hovyohovyo .
Ajaye ni Hussein Mwinyi, kwa tume hui na katiba hii ni kupoteza muda kumjadili Rais ajaye nje ya ccm, haiwezekani,Mkuu Waminepo, thanks very much for this very objective contribution, which is a very good analysis.
Opinions with such objectivity, ndizo zitalikomboa taifa hili kutoka hapa tulipo tufike kule tunakotakiwa kwenda.
Thanks.
P
Tulishasema Mkiti Chadema lazima atoke Kanda ile K'njaro/Moshi si kwingine. Wewe unamutafutia matatizo TLAjaye ni Hussein Mwinyi, kwa tume hui na katiba hii ni kupoteza muda kumjadili Rais ajaye nje ya ccm, haiwezekani,
Wengi tunahitaji kumuona Lisu akiwa mwenyekiti wa Chadema ili alete radical politics mpaka jiwe litaomba poo, siasa za kipindi hiki Mbowe arudi kuwa katibu mkuu uenyekiti akamate Tundu Lisu mtaenjoy shiw time
Sent using Jamii Forums mobile app
Dooh! Ni ngumu sanah kuamin ilah ndo Hali halisi
Yani una mjaji mtu kuwa raisi kwa uwezo wa kuongea na kujieleza ?? Eti waende BBC wahojiwe na suncker tuone Nani mkali????
Are you serious!!!!???
bro uraisi Ni taasisi, ndio inayoonyesha mwelekeo wa Maisha ya watu kwa Sasa na badae hata baada ya serikali ya Sasa kupita!! Na raisi ndio huongoza hiyo taasi kinachongaliwa sio uwezo wa kuongea bro kwa kingereza!! In fact fuatilia anachoongea lisu Ni nn hata kabla ya yy kushambuliwa??
Napata wasi wasi labda sometimes tuna argue na watoto wa shule ambao bado uwezo wa kufikiri unakua!!
Wengi wanafikiri hivyo ila....Ajaye ni Hussein Mwinyi, kwa tume hui na katiba hii ni kupoteza muda kumjadili Rais ajaye nje ya ccm, haiwezekani,
Wengi tunahitaji kumuona Lisu akiwa mwenyekiti wa Chadema ili alete radical politics mpaka jiwe litaomba poo, siasa za kipindi hiki Mbowe arudi kuwa katibu mkuu uenyekiti akamate Tundu Lisu mtaenjoy shiw time
Sent using Jamii Forums mobile app