Huu siyo unafiki hata kidogo amesema ukweli wake. Kuna wanasiasa wanazishabikia shule za kata majukwaani lakini watoto wao wanasoma shule za kimataifa.Huu ni unafiki mkubwa wa tunyulisu anasema hatezi kumpeleka mtoto wake shule za kata at the same time anasema anawapigania watanzania.