popobawa2012
Senior Member
- Jul 5, 2012
- 135
- 21
mjomba adabu haiuzwi!mkitekenywa kidogo mnaruka,ingekuwa wa chama kingine mngemuona salama mtu mzur na hili povu lisingewatoka
mjomba adabu haiuzwi!mkitekenywa kidogo mnaruka,ingekuwa wa chama kingine mngemuona salama mtu mzur na hili povu lisingewatoka
Chama chawa chagga
wala siwezi kujiita hivyo kwa mada kama hii kwani lazima utoe wazo kulingana na uchangiaj wa watu. Wewe je?Na wewe unajiita "great thinker"???????
Huu ni unafiki mkubwa wa tunyulisu anasema hatezi kumpeleka mtoto wake shule za kata at the same time anasema anawapigania watanzania.
Tundu Lissu uwezo wake wa kujibu maswali ni sawa wabunge 5 wa ccm
mkitekenywa kidogo mnaruka,ingekuwa wa chama kingine mngemuona salama mtu mzur na hili povu lisingewatoka
Gavana wa bot alipokea barua kutoka magogon aruhusu pesa kutoka,pia kuna jaji mkuu kapata mgawo wa m.500,huyu jamaa ni hatari nimependa alivyojibu kuhusu zitto
Huu ni unafiki mkubwa wa tunyulisu anasema hatezi kumpeleka mtoto wake shule za kata at the same time anasema anawapigania watanzania.
Huu ni unafiki mkubwa wa tunyulisu anasema hatezi kumpeleka mtoto wake shule za kata at the same time anasema anawapigania watanzania.
mkitekenywa kidogo mnaruka,ingekuwa wa chama kingine mngemuona salama mtu mzur na hili povu lisingewatoka
Duh!
Wee naona umeamua kutumia kichwa chako KUFUGIA nywele tuu!